Msaada jamani kwa wale wa cbe mwanza

Dodoma moja

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
307
Reaction score
182
Wakuu nimesikia kuwa cbe campus ya mwanza huwa na intake mbili kwa wanafunz kuanza masomo yaani mwezi wa 3 na wa 10. Kwa wale wa mwezi wa 3 huwa wanatoa application fomu mwez wa kwanza, nimejaribu kuangalia kupitia website yao lakin hakuna information yeyote mpya so niltaka kwa anaefaham anijulishe kama mpango huo upo au umeondolewa maana nataka kujiunga na chuo hiki mwez wa 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…