strong woman
Senior Member
- Jul 11, 2013
- 131
- 37
Mdogo wangu amekuwa akusumbuliwa na Shida ya constipation siku nyingi sana, sasa Leo ameniuliza juu ya dalili alizonazo kuwa ni kitu gani na he kinatibika?
Ni hivi anadai kuwa siku hizi akienda choo kunakuwa Hanna connection kati ya tumbo na njia ya haja kuwa na hata akitumia nguvu nyingi kinatoka lakini hali hii inakuja kwa kazi saana, na pia ananiuliza kuhusu Kinyama kiko kwa juu kunaweza kuwa ni Shida gani? Na he kinatibika??
Pia kuhusu diet take amebadilisha kabisa.
Asubuhi anakunywa mtori mchana ndizi na jioni ndizi anakula na matunda pia na hali ngano, soda wala wali na ugali na jana aliniuliza kama pombe huwa inalainisha choo.
Naombeni msaada mkuu NB yy ana umri wa miaka 24 na ni msichana.
Naombeni msaada tumsaidie huyu mtu shukrani sana.
Asanteni sana.
Ni hivi anadai kuwa siku hizi akienda choo kunakuwa Hanna connection kati ya tumbo na njia ya haja kuwa na hata akitumia nguvu nyingi kinatoka lakini hali hii inakuja kwa kazi saana, na pia ananiuliza kuhusu Kinyama kiko kwa juu kunaweza kuwa ni Shida gani? Na he kinatibika??
Pia kuhusu diet take amebadilisha kabisa.
Asubuhi anakunywa mtori mchana ndizi na jioni ndizi anakula na matunda pia na hali ngano, soda wala wali na ugali na jana aliniuliza kama pombe huwa inalainisha choo.
Naombeni msaada mkuu NB yy ana umri wa miaka 24 na ni msichana.
Naombeni msaada tumsaidie huyu mtu shukrani sana.
Asanteni sana.