Marire JF-Expert Member Joined May 1, 2012 Posts 12,333 Reaction score 5,292 Apr 27, 2014 #21 hivi mi kabla ya huu uzi nilichanganya alovera na pilipili kichaa nikawapa siku tatu naona walipona kwani walikuwa na mafua,kuhara,na walianza kusinzia..sasa wapo tu vizuri
hivi mi kabla ya huu uzi nilichanganya alovera na pilipili kichaa nikawapa siku tatu naona walipona kwani walikuwa na mafua,kuhara,na walianza kusinzia..sasa wapo tu vizuri
muggyen JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 347 Reaction score 253 Apr 27, 2014 #22 Duuuj ivi izo dawa haziharibu kuku Yani pilipili kichaa na aloevera si watawashwa mno