naombeni msaada nina wiki 15 ya ujauzito but mtoto hachezi kama mwanzo, nilipokuwa na wiki 7, na 8 ..yaani sasa huwa anajigusa mara moja kwa siku au 2, but nikisikiliza mapigo ya moyo huwa yanaenda kama mwanzo,,, na wala sina maumivu yoyote...naombeni ushauri jamani napata hofu..
naombeni msaada nina wiki 15 ya ujauzito but mtoto hachezi kama mwanzo, nilipokuwa na wiki 7, na 8 ..yaani sasa huwa anajigusa mara moja kwa siku au 2, but nikisikiliza mapigo ya moyo huwa yanaenda kama mwanzo,,, na wala sina maumivu yoyote...naombeni ushauri jamani napata hofu..
Dada wiki ya 7 sio mtoto huyo. Pia kuna scan hufanyika wiki ya 12 ulifanya? Hebu tumia internet kwa maswali yako hasa wakati huo uliopo.naombeni msaada nina wiki 15 ya ujauzito but mtoto hachezi kama mwanzo, nilipokuwa na wiki 7, na 8 ..yaani sasa huwa anajigusa mara moja kwa siku au 2, but nikisikiliza mapigo ya moyo huwa yanaenda kama mwanzo,,, na wala sina maumivu yoyote...naombeni ushauri jamani napata hofu..
Kabisa mkuuUsiogope hayo ni mabadiliko ambayo huwa yanatokea kwa mama mjamzito. Mtoto anaweza akacheza leo kesho asicheze. Au akacheza kwa mda halafu akatulia. Na hii inategemea mwili wako umeufanyisha kazi kwa mda mrefu sana bila kupumzika. Mama mjamzito anatakiwa afanye kaz lakin pia apate mda wa kupumzika.
naombeni msaada nina wiki 15 ya ujauzito but mtoto hachezi kama mwanzo, nilipokuwa na wiki 7, na 8 ..yaani sasa huwa anajigusa mara moja kwa siku au 2, but nikisikiliza mapigo ya moyo huwa yanaenda kama mwanzo,,, na wala sina maumivu yoyote...naombeni ushauri jamani napata hofu..
mhh! Wiki ya 7-8 alicheza? Nina mashaka!!! Anyway hebu jaribu kula vitu vitamu vitamu haswa chocolate uone mziki wake!