BLISS
Member
- Mar 31, 2011
- 54
- 13
naombeni msaada nina wiki 15 ya ujauzito but mtoto hachezi kama mwanzo, nilipokuwa na wiki 7, na 8 ..yaani sasa huwa anajigusa mara moja kwa siku au 2, but nikisikiliza mapigo ya moyo huwa yanaenda kama mwanzo,,, na wala sina maumivu yoyote...naombeni ushauri jamani napata hofu..