Nashukuru sana ndugu yangu,mimi ni mwanaume bt aina ya ultra sound siijui bt niliambiwa kabla yakupma lazma mkojo unibane sna ndio nipme, doct kaweka mafuta then akaweka mashne chini ya kitovu after 2mts tayar.bt mashne haikutembea tumbo zma.
Mkuu hyo enwo ndio nini?