Hivi karibuni nilikua nasumbuliwa na maumivu ya tumbo nikahisi naweza kua na uvimbe tumboni,nikaenda lugalo hosp wakanifanyia ultra sound kwa kuweka mashine chini kidogo ya kitovu then badae majibu yakasema sina tatizo.lakini namna ya upimaji ndio imenitia shaka coz mm nilizani mashine ingezungushwa tumbo lote lakini nimewekewa chini ya kitovu tu ndio imulike tumbo zima?wataalam plz!