Bwana uber
Member
- Jul 30, 2018
- 22
- 33
Jamani ni zaidi ya miezi sita sasa, haipiti siku tatu bila kumuota raisi MAGUFULI, mara niote eti Mimi ni mmoja wa walinzi wake wanaomlinda nahii si mara moja naota.
Wataalamu wa ndoto nisaidieni hapa tafadhari!!
Wataalamu wa ndoto nisaidieni hapa tafadhari!!