mbalisana
Member
- Dec 15, 2011
- 46
- 42
Nilipotelewa na vyeti vya shule. Olevel na Alevel. Nimejaribu kuvitafuta nileenda TCU nikaangalia database ya wanafunzi walioenda vyuo vya elimu ya juu,nikidhani huyu aliyevichukua kaamua kuvitumia sikufanikiwa. Natamani nipate vyeti vyangu, napata shida sana ninapoomba kazi hawataki statement of results wala results slip. Naomba kujua kama kuna njia ambayo naweza kutumia kutafuta mtu anayetumia vyeti vyangu. Maana viliibiwa inasemekana na mwanachuo mwenzangu nikiwa chuo ushahidi ulikuwa mdogo sana hivyo sikupenda kusababisha ugomvi. Bado navitafuta.