msaada jamani nimechoka na huu ugonjwa

Mr Mr

Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
34
Reaction score
8
Nina ugonjwa siku nyingi sasa yani nikimaliza kuoga kama dakika 2 mwili wote unaanza kuwasha najikuna hadi nusu saa baadae unapoa. Nimetumia dawa za aleji lakini wapi naombeni msaada nitumie dawa gani?
 
Nina ugonjwa siku nyingi sasa yani nikimaliza kuoga kama dakika 2 mwili wote unaanza kuwasha najikuna hadi nusu saa baadae unapoa. Nimetumia dawa za aleji lakini wapi naombeni msaada nitumie dawa gani?
chemsha hayo maji,au yaache juani kwa muda kabla ya kuoga,the urudi ulete jibu hapa
 
chemsha hayo maji,au yaache juani kwa muda kabla ya kuoga,the urudi ulete jibu hapa

Nikiyachemsha au kuyaweka juani nikioga ninawashwa kidogo sana na kwambali sana.
 
Nina ugonjwa siku nyingi sasa yani nikimaliza kuoga kama dakika 2 mwili wote unaanza kuwasha najikuna hadi nusu saa baadae unapoa. Nimetumia dawa za aleji lakini wapi naombeni msaada nitumie dawa gani?

Pole mkuu Mr Mr,tatizo lako ni allergy na tulishalijadili hapa jamvini,hebu jaribu ku search utapata jibu japo tuliowashauri hawarudisha feedback!
 
Last edited by a moderator:
Nina ugonjwa siku nyingi sasa yani nikimaliza kuoga kama dakika 2 mwili wote unaanza kuwasha najikuna hadi nusu saa baadae unapoa. Nimetumia dawa za aleji lakini wapi naombeni msaada nitumie dawa gani?


Nunua sabuni inaitwa TETMORSOL cover yake ni yanjano ina kipicha cha docta amevaa miwani. Hii sabuni ni kiboko ya muwasho na fungus binafsi nimeitu mia na imenisaidia. Inapatikana maduka ya dawa bei around 2500 - 3000
 
pole sana fanya uchunguzi wa damu mkuu
 
Huyo ana tatzio kama Langu...! Nimezunguka sana dawa zote nimetumia wapi! Ila hebu tujaribu kutumia Albart soda inapatikana maduka ya dawa asili... Hiyo ni namb yangu mhanga mwenzio

0657 230355

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina ugonjwa siku nyingi sasa yani nikimaliza kuoga kama dakika 2 mwili wote unaanza kuwasha najikuna hadi nusu saa baadae unapoa. Nimetumia dawa za aleji lakini wapi naombeni msaada nitumie dawa gani?
Badilisha aina ya sabuni unayotumia uone itakuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…