msaada jamani wa sheria kwa anayejua hii

msaada jamani wa sheria kwa anayejua hii

congobe

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2012
Posts
561
Reaction score
131
nataka kuhama kituo cha kazi kumfuata mume wangu nime ambatanishabarua na cheti cha ndoa cha ajabu DEO ana nambia nipereke mwalimu mbadala ndo nipate kuhama kituo cha kazi naomba ushauri wenu jamani
 

Attachments

Back
Top Bottom