Msaada jamani

Msaada jamani

mwalidebe

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2016
Posts
425
Reaction score
250
Kuna mtu hapa niko naye anamaumivu sana ya tumbo na maumivu ya pumbu. Tumbo linauma na kupoa ila pumbu zinauma muda sasa
 
Hernia hyo mkuu mwambie aende hospitali wakampatie msaada wa kitabibu zaidi.
 
Back
Top Bottom