Msaada jamani

mbiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2014
Posts
529
Reaction score
135
Mimi ni kijana mwenye miaka 22,ninaombeni msaada wa jinsi ya kupungua mwili wangu maana kila siku ya mungu ninaongezeka uzito na sasa nina kilo 120,ninaogopa kuwa nipo karibu kupata magonjwa pia dunia ninaiona chungu maana sina furaha hata kidogo,ninaombeni mnisaidie.
 
Weye wa kike wa kiume?? Punguza kula sana..kunywa maji mengi na fanya mazoezi sana...waeza enda gym itasaidia...
 
Asee pole mi nauliza yale mambo yetu ya kula papuchi kama unaweza maana huo uzito teh teh kamoja tu unaamka keshokutwa
 
Nitafute mimi nikupe dawa ya kupunguwa huo uzito wako kwa haraka pasipo na kudhurika kiafya . Dawa ninayo ya kuweza kukupunguzia huo uzito wako.Ukihitaji Tiba toka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

 
Kaa mbali na watu wembamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…