OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Kwa wale wazoefu wa maswala ya bandari na TRA naomba mnijuze kwa kuwa nimeagiza vitu vifutavyo kutoka nje TRA na Bandari wanaweza kunitoza bei gani? 1.Pikipiki 2.TV 32" 3. Power tiller 4.rice transplanter? nomba mnifahamishe kwa asilimia tu inatosha!