Msaada jamani

Joined
Mar 2, 2013
Posts
37
Reaction score
5
Mimi nina tatizo la kuwa na uume mdogo kiasi kwamba mke wangu ameanza kutoka nje kisa simridhish,jaman msaada tu ndo utanusuru hii ndoa nile kitu gani au ni dawa gan nikiipata itanisaidia. Asanteni sana.
 
Kwanza huyo mkeo hakupendi kwa dhati maana anadhani maisha ni kutiana tu.
Anyway, tafuta mkuyati kwa wamasai. Hiyo itakusaidia kupiga non stop na adabu itamjia.
 
hivi wanaume wooooooote ambao wanawake wao wanawacheat ni kwakuwa wana uume mdogo?????????????????????
WEWE shetani yupo na ataendelea kuwepo, na mbaya zaidi hakosi sababu za kuwashawishi watu wafanye dhambi, tena sababu anazokushawishi nazo sio tu zina logic but also scientific na social facts. Kama sio uume mdogo, basi ugonjwa wa kisukari, kama sio hiyo basi, upungufu wa nguvu za kiume, la sio hiyo basi kufilisika au kufungwa jela, kama hiyo haitoshi basi vajay kubwa, la sio hilo basi mwanamke ana gubu au mchafu au la hana umbile zuri kama la Kim kardash au sio mchakarikaji kama lara 1 au sio mama mwema kam gfsonwin au FP au hana mwanya kama wa snowhite.
There 101 millions reasons za kukufanya utembee na guy/gal next door; lakini there is only 1 reason ya kuishi na mume/mke wako nayo ni UPENDO kama wa Mungu (YESU) kwa watu wake (KANISA).

Again na dawa ya kutibu root cause ya mkeo kutokuwa mwaminifu ni SALA, maana udogo wa dushelele ni 1 kati ya sababu 1,000,000 ya kwenda kwa mwingine.
 
Last edited by a moderator:
Hebu tuambie huo uume mdogo ni urefu gani?
Isije kuwa mkeo ana shimo kama pango la mchwa
 
Well said my dear Kaunga....
Huyo mke kajitafutia tu kisababu cha kumfanya afanye hayo anayoyataka, siyo sababu ya uume mdogo......
Tunasikia kila siku kuwa siku hizi wake za watu tunaongoza kwa kutoka nje, sidhani kama sisi wote waume zetu wana uume mdogo....... tunajitafutia tu sababu hata pale ambapo hakuna sababu ya kufanya hivyo tutaitafuta.....
Mtoa mada.... jina limekuwa refu sana, lakini najua kwa vile unaomba ushauri basi utapitia kila post...
mimi sikushauri kutumia dawa yoyote..... unataka kuniambia huyo mdada mlimuoana kabla hamjatest? kama mlishapitia huko kwa nini hakukimbia kabla hajajifunga?
kama hamkupitia huko basi imekula kwake maana wewe ndo aliyekuchagua......
Wewe muombe Mungu wako akusaidie kumtuliza mkeo, kama sisi wamama tunapomliliaga Mungu atulize waume zetu wababa nanyi mna kazi hiyo pia.
 

umeona eeh, halafu kamtoa confidence mkaka wa watu hadi anatia huruma.
Mungu atusaidie kwa kweli!
 
umeona eeh, halafu kamtoa confidence mkaka wa watu hadi anatia huruma.
Mungu atusaidie kwa kweli!
Asitie huruma wala nini, asonge mbele tu atafika.....
kila kitu kina mwisho, mimi huwa naamini hivyo
 
well said Kaunga.
naomba nirudie tena msemo wangu yakwamba simwonei huruma mtu afanyaye umalaya kwasababu ya tabia manake tabia haina dawa na huyu mke wa rafiki yetu ni miongoni mwa watu wa aina hii.
hakuna sababu inayojustfy tabia mbaya miongoni mwetu manake hata kwenye sheria kutokujua sheria hakukupi sababu ya kuvunja sheria.

huyu mtoa mada atulie na aendelee na maisha yake ya kuwa masafi na ajipime nafsini mwake kweli kwamba ni msafi??? na kwamba alichokisema hapa ni kweli ndio hali halisi?? manake jamani...........................
 
Last edited by a moderator:

pole naona umeguswa hadi umeishiwa maneno ya kusema, si ajabu huyo anayelalamikia udogo wa dudu keshazalishwa watoto wawili; sasa dudu lingekuwa dogo watoto wangepatikana vipi?

hana sababu ni uzinzi wake tu!
 
umeona eeh, halafu kamtoa confidence mkaka wa watu hadi anatia huruma.
Mungu atusaidie kwa kweli!
Kaunga unajua mioyo ya watu wewe?? yaani huruma namwonea sana huyu mtoa mada ila bado napata kigugumizi kama kweli kama anasema ukweli ulioko naafsini mwake. nitakusimulia kisa kimoja cha mtu ndipo utakapogundua kwamba mwanadamu moyo wake ni kichaka kikubwa.
 
Last edited by a moderator:
Mi najua wewe muanzisha hii thread ni mwanafunzi tu uko form two unatafuta njia ili ukajaribu, hakuna cha mke wala nini! Sasa kwa mujibu huo basi, ni vema usubiri ukue alafu soma sana upate maarifa mengi, ukishapata maarifa mengi utajua nini cha kufanya, kosa uende ununue dawa dukani inakudanganya itakuza!! Haa utachezea pabaya, usichezecheze ovyo na huko chini mwishowe ukaaffect kitu ukawa kutoa watoto ambao kichwani kidogo wanakua wa 30/31 ukaanza kuwachapa fimbo.. Hii kitu mbona inakua kubwa yenyewe tu haihitaji hata dawa! Ni umbile la Mwafrika naturally tu! Unless kuna matters kama intersexual involved ambapo mtu anajikuta ana maumbile mawili, na hata ka moja halipo basi anaweza kua hata na ovaries ndani bila kujua.. tafuta documentary youtube inaitwa Sex, Lies and Intersexual ya National Geographic Channel upate ufafanuzi zaidi.. Ila soma sana sawa??
 

nakisubiria hicho kisa, maana among the fools ambao wanawaamini watu nami ni muhanga!
 
...tupia picha mkuu tujue kama unayosema ni kweli,labda kibamiz sio tatizo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…