hivi wanaume wooooooote ambao wanawake wao wanawacheat ni kwakuwa wana uume mdogo?????????????????????
WEWE shetani yupo na ataendelea kuwepo, na mbaya zaidi hakosi sababu za kuwashawishi watu wafanye dhambi, tena sababu anazokushawishi nazo sio tu zina logic but also scientific na social facts. Kama sio uume mdogo, basi ugonjwa wa kisukari, kama sio hiyo basi, upungufu wa nguvu za kiume, la sio hiyo basi kufilisika au kufungwa jela, kama hiyo haitoshi basi vajay kubwa, la sio hilo basi mwanamke ana gubu au mchafu au la hana umbile zuri kama la Kim kardash au sio mchakarikaji kama
lara 1 au sio mama mwema kam
gfsonwin au
FP au hana mwanya kama wa
snowhite.
There 101 millions reasons za kukufanya utembee na guy/gal next door; lakini there is only 1 reason ya kuishi na mume/mke wako nayo ni UPENDO kama wa Mungu (YESU) kwa watu wake (KANISA).
Again na dawa ya kutibu root cause ya mkeo kutokuwa mwaminifu ni SALA, maana udogo wa dushelele ni 1 kati ya sababu 1,000,000 ya kwenda kwa mwingine.