Na siku zote magonjwa ya Ngono dalili zake kwa mwanamke kujitokeza huchukua mda marefu huenda hata huyo aliye kuambukiza hajui km ana ugonjwa ila kwa mwanaume dalili hujitokeza ndan ya siku 3 tangu kukutana na mwanamke mwenye ugonjwa huoKwasababu nimejaribu kusoma naona kama kisono ila toka siku hiyo na mwili wangu ulibadilika sana itanibidi kesho nipime magonjwa yote
Mhhhhhh kwaiyo ili lazima nife tu ata nikienda hospitali