Habari wadau wana jf.
Leo naomba ushauri wa kiafya kwenu wadau. Kuna jambo linanitatiza, naelekea kuoa mwisho wa mwaka huu lakin inabid nijiandae maana najiamin kuwa muda huo ukifika kwa kudra za mwenyezi Mungu mke wangu atabeba ujauzito.
Ikifika hapo sasa sijui nitaendelea kucheza naye mpaka atakapokuwa na mimba ya miezi mingapi ili nimwache apumzike???
Ushauri wadau.