Professional Trader
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 1,220
- 1,120
Mimi ni muhitimu wa chuo kimoja wapo apa nnchini katika ngazi ya diploma, nilikua nawishi siku moja niwe moja kati ya wajasilia mali wakubwa apa nchini ila tu Tatizo linakuja pindi tunapofikia kwenye swala la MTAJI na ukizingatia ndo nimehitimu chuo kama wiki mbili nyuma yani apa mtaji nilio nao sahivi ni vyeti vyangu tu .
Lengo la kuandika hii post ni kuomba msaada kama kutakua kunanjia mbarimbari ambazo naweza Fanya ili kupata mtaji pesa ambao ndo muhimu zaid ingekua vizuri mkanisaidia ndugu zangu au hata kma ikitokea kuna nafasi ya kazi flani pia nikaifanya sio mbaya ili tu na Mimi siku moja nifike sehemu flani na ikiwezekana nisaidie watu wengine wataokuwa wakiitaji msahada mka ilivyo mimi leo hii
Lengo la kuandika hii post ni kuomba msaada kama kutakua kunanjia mbarimbari ambazo naweza Fanya ili kupata mtaji pesa ambao ndo muhimu zaid ingekua vizuri mkanisaidia ndugu zangu au hata kma ikitokea kuna nafasi ya kazi flani pia nikaifanya sio mbaya ili tu na Mimi siku moja nifike sehemu flani na ikiwezekana nisaidie watu wengine wataokuwa wakiitaji msahada mka ilivyo mimi leo hii