Msaada: Je, ninaweza kuwafungulia kesi ya jinai wafugaji wanaochungia mifugo shambani kwangu?

Msaada: Je, ninaweza kuwafungulia kesi ya jinai wafugaji wanaochungia mifugo shambani kwangu?

Tsyamatsy

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2023
Posts
265
Reaction score
421
Wabobezi naomba msaada. Nina Shamba ambalo namiliki kihalali. Lakini ninashindwa kuliendeleza kwa kuwa Kila siku wafugaji wanachungia ng'ombe humo. Hili limekuwa ni tatizo kubwa sana sana kwani uharibifu umekuwa ni mkubwa sana.

Nimejitahidi kulalamika Kwa Viongozi kijijini, lakini ni Bure. Pia Polisi nao hawajanisaidia.

Lakini nimeambiwa Kuwa Kuna kuwashtaki kuingia na kufanya jinai ndani ya eneo langu. Naomba msaada
 
Wabobezi naomba msaada. Nina Shamba ambalo namiliki kihalali. Lakini ninashindwa kuliendeleza kwa kuwa Kila siku wafugaji wanachungia ng'ombe humo. Hili limekuwa ni tatizo kubwa sana sana kwani uharibifu umekuwa ni mkubwa sana.

Nimejitahidi kulalamika Kwa Viongozi kijijini, lakini ni Bure. Pia Polisi nao hawajanisaidia.

Lakini nimeambiwa Kuwa Kuna kuwashtaki kuingia na kufanya jinai ndani ya eneo langu. Naomba msaada
Nenda mahakamani wafungulie trespass into land. Kesi ya kuingia ktk eneo lako bila ruhusa yako. Hii inaangukia katika kesi ya madai hususani sheria ya madhara (tort)
 
Nenda mahakamani wafungulie trespass into land. Kesi ya kuingia ktk eneo lako bila ruhusa yako. Hii inaangukia katika kesi ya madai hususani sheria ya madhara (tort)
Sawa mkuu, Namshukuru Kwa msaada huu, lakini ng'ombe wanachungaia ndani ya eneo mchana na ikifika jioni wanaelekea makwao.
Je, nikifungua hiyo kesi nifanyeje Ili niwe na ushahidi kamili mahakamani? Na je, ni mahakama ya mwanzo au ya wilaya?
 
Sawa mkuu, Namshukuru Kwa msaada huu, lakini ng'ombe wanachungaia ndani ya eneo mchana na ikifika jioni wanaelekea makwao.
Je, nikifungua hiyo kesi nifanyeje Ili niwe na ushahidi kamili mahakamani? Na je, ni mahakama ya mwanzo au ya wilaya?
swala la ushahidi, unaweza kuita watu waone pindi ng'ombe wanavyoingia katika eneo lako au ukarecord video pindi hao ng'ombe watakapokuwa katika shamba lako.
 
swala la ushahidi, unaweza kuita watu waone pindi ng'ombe wanavyoingia katika eneo lako au ukarecord video pindi hao ng'ombe watakapokuwa katika shamba lako.
kuhusu mahakama wapeleke mahakama ya mwanzo. Ukumbuke kuainisha maombi yako nini unataka mahakama ikufanyie. Mfano fidia, kutoa amri ya kuwataka kuacha mala moja kuingiza mifugo katika eneo lako nk.
 
kuhusu mahakama wapeleke mahakama ya mwanzo. Ukumbuke kuainisha maombi yako nini unataka mahakama ikufanyie. Mfano fidia, kutoa amri ya kuwataka kuacha mala moja kuingiza mifugo katika eneo lako nk.
Asante mkuu, nitakupa mrejesho kuanzia wiki ijayo Kwa kila hatua nitakayoichukua.
 
Wabobezi naomba msaada. Nina Shamba ambalo namiliki kihalali. Lakini ninashindwa kuliendeleza kwa kuwa Kila siku wafugaji wanachungia ng'ombe humo. Hili limekuwa ni tatizo kubwa sana sana kwani uharibifu umekuwa ni mkubwa sana.

Nimejitahidi kulalamika Kwa Viongozi kijijini, lakini ni Bure. Pia Polisi nao hawajanisaidia.

Lakini nimeambiwa Kuwa Kuna kuwashtaki kuingia na kufanya jinai ndani ya eneo langu. Naomba msaada
Hiyo kesi siyo Jinai ni Madai mkuu
 
Shamba limepimwa na Lina hati ya umiliki na limewekewa beacons za serikali, yaani ofisi ya ardhi.
Kama una umiliki wako nenda kwa RPC na Nyaraka zako,baada ya majadiliano,muwombe akupe askari ukawatowe hao wa vamizi!!
 
Kudeal na mfugaji hasa wamang'ati kwa njia ya mahakama ni ngumu sana. Hata mahakama ikihukumu ulipwe fidia, ni ngumu sana kuipata toka kwa jamii ya kifugaji. Pole sana hawa jamaa ni wasumbufu sana.

Ukiona unazidiwa, mwaga mboga na wewe. Weka sumu tu au paka asali kwenye majani ng'ombe wale wavimbiwe.
 
Kama una umiliki wako nenda kwa RPC na Nyaraka zako,baada ya majadiliano,muwombe akupe askari ukawatowe hao wa vamizi!!
Kudeal na mfugaji hasa wamang'ati kwa njia ya mahakama ni ngumu sana. Hata mahakama ikihukumu ulipwe fidia, ni ngumu sana kuipata toka kwa jamii ya kifugaji. Pole sana hawa jamaa ni wasumbufu sana.

Ukiona unazidiwa, mwaga mboga na wewe. Weka sumu tu au paka asali kwenye majani ng'ombe wale wavimbiwe.
Ukweli ni huo kudeal na hawa wafugaji ni ngumu nimeyaona haya, hawa ni jamii ya Kimasai. Kuna wakati niliwahi kwenda report Police kwani lilijengwa zizi ndani ya eneo langu. Nikapewa mpelelezi, Cha ajabu mpelelezi alitaka kujua jina la mfugaji. Mfugaji mwenyewe alikuwa anamfahamu. Hatimae nilizungushwa hakuna kilichoendelea. Ukapita muda hadi mfugaji akaondoka Kwa kupenda kwake.
Tatizo nililogundua katika suala hili ni kwamba ukiwataarifu Police, wao kwanza wanakuangalia ni mtu wa hadhi gani! Ukiwa ni mtu mzito namaanisha uwe labda mwanajeshi, askari au unacheo chochote kizito katika siasa, basi utahudumiwa haraka sana lakini akina sie kajambanani vikwazo ni vingi na kukatishwa tamaa.

Waliopo Kwa Sasa hawakai shambani kwangu Bali wako majirani na Mimi. Imekuwa ni ngumu sana kwangu kuendeleza Shamba, kwani Kila kukicha ng'ombe wako eneo langu.
 
Kudeal na mfugaji hasa wamang'ati kwa njia ya mahakama ni ngumu sana. Hata mahakama ikihukumu ulipwe fidia, ni ngumu sana kuipata toka kwa jamii ya kifugaji. Pole sana hawa jamaa ni wasumbufu sana.

Ukiona unazidiwa, mwaga mboga na wewe. Weka sumu tu au paka asali kwenye majani ng'ombe wale wavimbiwe.
Je, nikimwaga simu au kuweka asali ndani ya eneo langu na ikatokea ng'ombe wakafa je, sitashtakiwa??

Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
 
Je, nikimwaga simu au kuweka asali ndani ya eneo langu na ikatokea ng'ombe wakafa je, sitashtakiwa??

Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
Lakini wanyama hawana kosa,wwe deal na hao wamasai,ukiweka sumu alafu hiyo sumu inaweza kuja kuzulu watu watakao kula hiyo nyama ambao hawana hatia!!
 
Lakini wanyama hawana kosa,wwe deal na hao wamasai,ukiweka sumu alafu hiyo sumu inaweza kuja kuzulu watu watakao kula hiyo nyama ambao hawana hatia!!
Ni mwaka wa 10 Sasa ni kwamba nimeshindwa! Kwani nimekuwa mtaratibu sana kwao. Hatua ya kwanza nimekuwa nikiwaelimisha Kwa muda mrefu lakini wanajifanya hawaelewi. Pia nimeshafika hadi ofisi ya Kijiji na waliitwa na wakapuuza. Police nilishafika lakini sikupata msaada. Pia katika kuwaelimisha nimekuwa nawaeleza jinsi wanavyonidumaza kiuchumi maana sifanyi maendeleo yoyote wakati Mimi maisha yangu yanategemea Shamba, lakini wao ng'ombe zao zinazidi kuzaliana kwa kutegemea Shamba langu. Sina faida kwani ata shilingi sipati zaidi ya kunidharau tu. In
Naona Sasa ifike mwisho kwani sioni faida ya Kuwa na shamba, Ina maana Mali yangu initese mwenyewe, haiwezekani! Wanajifanya watemi kwenye Mali za wenzao. Suluhisho pekee la mwisho ni kuuchukua ushauri wa member aliyetangulia hapo juu wa kumwaga mboga!! Ndio mboga tu ndani ya eneo langu ninalolimiliki kihalali, kwani wao wanamwaga ugali! kwani Kuna wakati nilishawahi kuwataharifu Kwa maandishi kuwa wasichunge ktk eneo langu kwani nataka kulima Kwa kukausha majani Kwa sumu lakini wakapuuza, sijui wanategemea miziziology! Au wanaona nawaogopa! Sasa naona nitafanya kweli. Cha muhimu Bado naangalia kisheria zaidi kama Kuna Sheria' yoyote inayonizuia kufanya lolote ndani ya eneo ninalolimiliki kihalali.

Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
 
Ni mwaka wa 10 Sasa ni kwamba nimeshindwa! Kwani nimekuwa mtaratibu sana kwao. Hatua ya kwanza nimekuwa nikiwaelimisha Kwa muda mrefu lakini wanajifanya hawaelewi. Pia nimeshafika hadi ofisi ya Kijiji na waliitwa na wakapuuza. Police nilishafika lakini sikupata msaada. Pia katika kuwaelimisha nimekuwa nawaeleza jinsi wanavyonidumaza kiuchumi maana sifanyi maendeleo yoyote wakati Mimi maisha yangu yanategemea Shamba, lakini wao ng'ombe zao zinazidi kuzaliana kwa kutegemea Shamba langu. Sina faida kwani ata shilingi sipati zaidi ya kunidharau tu. In
Naona Sasa ifike mwisho kwani sioni faida ya Kuwa na shamba, Ina maana Mali yangu initese mwenyewe, haiwezekani! Wanajifanya watemi kwenye Mali za wenzao. Suluhisho pekee la mwisho ni kuuchukua ushauri wa member aliyetangulia hapo juu wa kumwaga mboga!! Ndio mboga tu ndani ya eneo langu ninalolimiliki kihalali, kwani wao wanamwaga ugali! kwani Kuna wakati nilishawahi kuwataharifu Kwa maandishi kuwa wasichunge ktk eneo langu kwani nataka kulima Kwa kukausha majani Kwa sumu lakini wakapuuza, sijui wanategemea miziziology! Au wanaona nawaogopa! Sasa naona nitafanya kweli. Cha muhimu Bado naangalia kisheria zaidi kama Kuna Sheria' yoyote inayonizuia kufanya lolote ndani ya eneo ninalolimiliki kihalali.

Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
Kwa kifupi swala la sumu kwa mifugo isiyokua na hatia mimi sili afiki kabisa! Maana kweli unaweza uwa mifugo kwa sumu,je hivyo vibudu vikiaangukia mikononi mwa wajanja wapenda pesa si wataisambaza kwa jamii,na Jamii kupata madhara!!??
 
Back
Top Bottom