Awapigie simu aombe kuonana na bosi aende kuongea nao labda watakuwa wanamuhitaji bado.
Kama hawamuhitaji basi atajua huko, sio vibaya kujaribu ila nao watakuwa hawamwamini tena, sababu akipata kazi ingine yoyote as ameonyesha pale hapakumfaa ni ataondoka.
Hapo ni je wapo tayari kupitia mahangaiko ya kutafuta mtu kujazia nasmfasi yake tena au kama hawana mtu bado basi aseme apewe contract ya mwezi kwa mwezi hadi wajaze nafasi au labda ndio atataka kukaa bila kuhama.
Pia kuacha kazi ni muhimu kuhakikisga unakoenda ume sign tayari ili wasikugeuke, as unakuwa umewaeleza kuwa unaenda kutoa notice na utaanza baada ya wiki fulani kutokana na wewe unatakiwa kutoa taarifa ya muda gani huko ili uondoke vizuri.