Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza kwanza na wanakochukua wa kawaida kama kariakoo nk,as you go utagundua machimbo mengine amabyo utapata so cheaper na hizo information utazipata huko huko kwa hao wafanya biashara ulioanza nao,juu juu tu mtu hawezi kukupa information zote mapema hivo, au unaweza tapeliwa pia ingawa hujasema biashara ya jumla ya bidhaa ganiAsee, kwahiyo umeona utoe Definition ?
Dah hiyo topic ya form 2,huo ndo ubaya wakukimbia shuleNahitaji kufungua duka la bidhaa na kuuza kwa bei ya jumla, Je, naweza kupata wapi wanakouza bidhaa wanakonunua wengine ?
Shukhrani sana mkuuanza kwanza na wanakochukua wa kawaida kama kariakoo nk,as you go utagundua machimbo mengine amabyo utapata so cheaper na hizo information utazipata huko huko kwa hao wafanya biashara ulioanza nao,juu juu tu mtu hawezi kukupa information zote mapema hivo,au unaweza tapeliwa pia ingawa hujasema biashara ya jumla ya bidhaa gani
KaribuShukhrani sana mkuu
Sijui unamana ganidah hyo topic ya form 2,huo ndo ubaya wakukimbia shule
Bidhaa gani mkuu?Nahitaji kufungua duka la bidhaa na kuuza kwa bei ya jumla, Je, naweza kupata wapi wanakouza bidhaa wanakonunua wengine ?
Sio wote wamesoma commerce, hio definition tumetumia wiki kuikaliliAsee, kwahiyo umeona utoe Definition ?
Safi sana!!A wholesaler is a person who buy goods in large quantity from manufacturer and sell them in small quantity to retailer.
Dubey ndio wapi mkuu?Dubey,hongkong.
Chaina
Viwandani etc
Supplier ana tofauti gani na kununua viwandani na Je, wasio na viwanda hapa mfano wauzaji wa kalamu za OBAMA/NATARAJ au bidhaa za RUNGU wanawafikiaje wauzaji wa UMLA ??Ukitaka whitedent,mafuta ya kupaka,bidhaa za plastick nenda kiwandani chemi cotex Africans then onana na afisa masoko atakupa mchongo mzima.Ngano nenda kiwanda cha azam au nyati,hivyo ukienda watakueleza kwa mapana ili uone kama utawezaau uende kwa supplier.Kiuzoefu agent hawezi kukuelekeza anakochukua bidhaa hats siku,halafu siku hizi mambo mepesi ukinunua konyagi wanaweka hadi namba zao kwenye box.VP mtaji wa maana unao?Kama VP unaweza kubobea kwenye bidhaa moja huku ukikua taratibu
We unazingua!!s kila bidhaa zinazalishwa hapa Tanzania hivyo maagent hawaepukiki.By the way mtaji wako no ngapi?ili watu wakushauri vizuri maana unauliza swali huku jibu unalijua.Supplier ana tofauti gani na kununua viwandani na Je, wasio na viwanda hapa mfano wauzaji wa kalamu za OBAMA/NATARAJ au bidhaa za RUNGU wanawafikiaje wauzaji wa UMLA ??