MSAADA: Je, Wamiliki wa Maduka ya Jumla wananunua wapi bidhaa zao?

MSAADA: Je, Wamiliki wa Maduka ya Jumla wananunua wapi bidhaa zao?

We unazingua!!s kila bidhaa zinazalishwa hapa Tanzania hivyo maagent hawaepukiki.By the way mtaji wako no ngapi?ili watu wakushauri vizuri maana unauliza swali huku jibu unalijua.
Mtaji ni 30M, Na vipi kuhusu hao maajenti wanapatikanaje ?
 
Bidhaa nyingi zinapatikana kwenye viwanda ndipo wanapo nunua hawa matajiri nakuweka kwenye maduka yao ya Jumla

Almost asilimia 98% zinazalishwa hapa hapa Nchini.

Unga wa sembe,unga wa ngano Mfuta yakupikia, Pempers, Sabuni Soft aina zote, chumvi, biscuits, Tomato,majani ya chai,madaftari Aina zote marapa sabauni za unga Aina zote vibiriti nk...


Chamsingi nikuangalia bidhaa zipi utaanza nazo kutokana na mataji wako.

Then unakwenda kwawateja wako unaowalenga kabla yakufungua unakwenda kujitangaza nakuwaachia namba zako za office yako.

Unatakiwa uwe namtaji wakutosha Kama unataka kufungua Duka la jumla ili uweze kulikamatwa soko

Wateja wakiona unanguvu yakazi ndio wanakuamini kufanya biashara na wewe

Akikisha unawaachia list za bidhaa zako ulizokua nazo pamoja na bei utaona watanza kuja kukuungisha hadi watakua wateja wako wakudumu

ONYO: KUWA MAKINI NA KUKOPESHA KUNAWEZA KUKAKUFANYA USHINDWEE.
 
Bidhaa nyingi zinapatikana kwenye viwanda ndipo wanapo nunua hawa matajiri nakuweka kwenye maduka yao ya Jumla

Almost asilimia 98% zinazalishwa hapa hapa Nchini.

Unga wa sembe,unga wa ngano Mfuta yakupikia, Pempers, Sabuni Soft aina zote, chumvi, biscuits, Tomato,majani ya chai,madaftari Aina zote marapa sabauni za unga Aina zote vibiriti nk...


Chamsingi nikuangalia bidhaa zipi utaanza nazo kutokana na mataji wako.

Then unakwenda kwawateja wako unaowalenga kabla yakufungua unakwenda kujitangaza nakuwaachia namba zako za office yako.

Unatakiwa uwe namtaji wakutosha Kama unataka kufungua Duka la jumla ili uweze kulikamatwa soko

Wateja wakiona unanguvu yakazi ndio wanakuamini kufanya biashara na wewe

Akikisha unawaachia list za bidhaa zako ulizokua nazo pamoja na bei utaona watanza kuja kukuungisha hadi watakua wateja wako wakudumu

ONYO: KUWA MAKINI NA KUKOPESHA KUNAWEZA KUKAKUFANYA USHINDWEE.
Huo mtaji wa maana ni kama kiasi gani cha pesa? Mimi nina M5 tu . Naweza fungua duka la jumla? Nataka niuze mchele tu
 
Lakini ni vizuri ukaanza kwanza kuuza reja reja na huku ukiangalia ni vitu gani vinauzika sana na baadaye ndipo utaanza kuuza kununua mzigo mkubwa na kuuza kwa jumla
 
Back
Top Bottom