Miezi kadhaa sasa imepita..napata maumivu makali sana mgongoni na chini ya kifua hasa nikiwa nakula..nahisi chakula kama kinatonesha kidonda...nimezunguka hospital nimefanyiwa kipimo endoscope..majibu nina reflux esophagitis nimejaribu dawa za hospital bila mafanikio mwezi wa saba huu..msaada wenye kujua tiba