Msaada Jf tatizo la (reflux esophagitis)

kbo

Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
46
Reaction score
2
Natanguliza shukrani wana Jf...ninatatizo ambalo wengi wamekua wakilijumuisha kama vidonda vya tumbo...dalili ni kujisikia kichefuchefu..kiungulia..maumivu nyuma ya mgongo..mwaka jana nilipima kipimo cha endoscope nikawa sina tatizo kwenye mfuko wa chakula wa utumbo..ila tatizo ni acid imechoma kwenye ungio kati ya mrija wa chakula na tumbo inayopelekea maumivu chini ya kifua mpaka mgongoni..msaada
 

Tafuta dawa nzuri za kuharisha hasa za kipare.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…