Hallow,wana JF,
Kuna kisa kimenikuta juzi kati.Mimi ni mwanaume miaka 40.
Wakati nikiwa usingizini nikawa kama naota hivi na pembeni akawa yupo binti mrembo mzuri na mrefu kiasi.
Ghafla akanikumbatia na kuanza kunipet pet,kama vile ni binti wa kweli.wakati huo nguvu zilikuwa zimeniishia lakini nilibahatika tu kukemea kwa jina la YESU,likawa linasogea na kadri nilivyokemea likawa linasepa hadi naliona hilo linasepa kwa dirishani ingawa lilikuwa limefungwa.
Naomba kujua ndugu zangu,hii imekaaje?maana nasikia kuna Majini yanazini na binadamu.nini madhara yake kama ikikutokea? Tiba ya hii ni nini?
Ahsanteni
Kuna kisa kimenikuta juzi kati.Mimi ni mwanaume miaka 40.
Wakati nikiwa usingizini nikawa kama naota hivi na pembeni akawa yupo binti mrembo mzuri na mrefu kiasi.
Ghafla akanikumbatia na kuanza kunipet pet,kama vile ni binti wa kweli.wakati huo nguvu zilikuwa zimeniishia lakini nilibahatika tu kukemea kwa jina la YESU,likawa linasogea na kadri nilivyokemea likawa linasepa hadi naliona hilo linasepa kwa dirishani ingawa lilikuwa limefungwa.
Naomba kujua ndugu zangu,hii imekaaje?maana nasikia kuna Majini yanazini na binadamu.nini madhara yake kama ikikutokea? Tiba ya hii ni nini?
Ahsanteni