Hapo kinachovimba ni ufizi na sio jino,kama hali kama hiyo ikikutokea unapaswa kwenda kwa mtaalam wa meno,kuna vidonge vya kupunguza uvimbe utatumia baada ya uvimbe kupotea ndio wataangalia ni tiba gani upatiwe!!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums