Msaada: Jinsi gani ntapata "BARCODE"

Msaada: Jinsi gani ntapata "BARCODE"

mkalikali

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
363
Reaction score
131
Wadau wa jukwaa hl poleni kwa majukumu.
mwenye kufahamu ni wapi au jinsi gani barcode kwa ajili ya product (e.g vyakula vya kusindika kwenye makopo e.t.c ) inaweza kupatikana naomba anisaidie.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wana jukwaa.
 
kuna program mbalimbali unazoweza kudownload and zikatengeneza barcode kulingana na mahitaji yako

unatumia sim aina gani? is it a smart phone?
 
kuna program mbalimbali unazoweza kudownload and zikatengeneza barcode kulingana na mahitaji yako

unatumia sim aina gani? is it a smart phone?

Ndio natumia smart phone..
Mkuu hiyo barcode itaweza kutambulika world wide kwenye supermarkets?
 
kuna program mbalimbali unazoweza kudownload and zikatengeneza barcode kulingana na mahitaji yako

unatumia sim aina gani? is it a smart phone?

Mkubwa mbona unachanganya madawa? Mdau anaulizia barcode za kuuzia bidhaa international wala si zile barcode za Blackberry and the like.
 
Wadau wa jukwaa hl poleni kwa majukumu.
mwenye kufahamu ni wapi au jinsi gani barcode kwa ajili ya product (e.g vyakula vya kusindika kwenye makopo e.t.c ) inaweza kupatikana naomba anisaidie.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wana jukwaa.

Bora wewe unaulizia jambo la maendeleo ingia kwenye hii link chini kuna maelekezo yote na mawasiliano mkuy.

http://www.gs1tz.org/
 
Nimemwelea kabisa na kama nilivyosema unaweza kupata App itakayoketengenezea barcode unazoweza kutumia kwenye biashara yako popote pale ulimwenguni
Just go to google play-store nd search ziko kibao
 
nahisi hajamuelewa mtoa mada kakurupuka kujibu
badala ya kumwambia aende GSI msasani pale
tirdo awaone wale ndo watoa hzo barcode
yeye kajikanyaga kumshauri mwenzake

Hivi umemuelewa au umekurupuka kuja kujibu?
 
Hivi umemuelewa au umekurupuka kuja kujibu?

Mkubwa mbona unachanganya madawa? Mdau anaulizia barcode za kuuzia bidhaa international wala si zile barcode za Blackberry and the like.

nahisi hajamuelewa mtoa mada kakurupuka kujibu
badala ya kumwambia aende GSI msasani pale
tirdo awaone wale ndo watoa hzo barcode
yeye kajikanyaga kumshauri mwenzake

Duh wadau yaani jamaa kajitahidi kutoa msaada nyie mnasema amekurupuka.., namna hii wengine tutakuwa waoga kutoa misaada kwa watu.

Anyway kwani hio kampuni ndio pekee inatoa barcodes ?, Ni kama mdau alivyosema kuna software online ambazo mtu unaweza kujitengenezea barcodes..., Na kwa mujibu wa maelezo yake unaweza kuipata kwenye apps from your smartphone
 
Duh wadau yaani jamaa kajitahidi kutoa msaada nyie mnasema amekurupuka.., namna hii wengine tutakuwa waoga kutoa misaada kwa watu.

Anyway kwani hio kampuni ndio pekee inatoa barcodes ?, Ni kama mdau alivyosema kuna software online ambazo mtu unaweza kujitengenezea barcodes..., Na kwa mujibu wa maelezo yake unaweza kuipata kwenye apps from your smartphone
Sikia kama umejua leo sisi tangu kitambo hizo unazozisema nizakusomea product...lakini yeye anataka kupata ownership bar-code!
 
Sikia kama umejua leo sisi tangu kitambo hizo unazozisema nizakusomea product...lakini yeye anataka kupata ownership bar-code!
Hayo mambo ya ownership umeyatoa wapi ? Ngoja ninukuu alichokisema...

Wadau wa jukwaa hl poleni kwa majukumu.
mwenye kufahamu ni wapi au jinsi gani barcode kwa ajili ya product (e.g vyakula vya kusindika kwenye makopo e.t.c ) inaweza kupatikana naomba anisaidie.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wana jukwaa.

Au wewe umeelewa kuliko muuliza swali ?, na mtu kutoa msaada wake kusaidia hata kama amekosea (lugha ya kumwambia amekurupuka sidhani kama ni busara)
 
  • Thanks
Reactions: GKM
Back
Top Bottom