babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,173
Naomba msaada jinsi ya kutengeneza mandazi ya kumimina(sina uhakika na jina)
Huku nilipo sasa hivi vitafunio ni Toast,bacon,sausage and baked beans(english breakfast), hii imenishinda na Mcdonalds b'fast zao zimenitoka sasa hivi.
Ni unga gani ninatakiwa nitumie, self raising or plain? na jinsi ya kuchanganya.
Huku nilipo sasa hivi vitafunio ni Toast,bacon,sausage and baked beans(english breakfast), hii imenishinda na Mcdonalds b'fast zao zimenitoka sasa hivi.
Ni unga gani ninatakiwa nitumie, self raising or plain? na jinsi ya kuchanganya.

