Msaada jinsi ya kuacha kumuabudu girlfriend unayempenda ila haoneshi kukupenda

Msaada jinsi ya kuacha kumuabudu girlfriend unayempenda ila haoneshi kukupenda

Kelams

Member
Joined
Jan 9, 2024
Posts
12
Reaction score
25
Nina Girlfriend wangu, nampenda sana. Naye ananipenda sana (kwa mujibu wa anavyodai). Nimeshakutana naye kimapenzi zaidi ya mara 2. Huwa najitahd kumfanyia kila kizuri

Ofisi yangu inapatikana karibu na nyumbani kwao, ila kinachonishangaza, huwa haji kama Girlfriend wangu, anakuja kama mteja. Akifika na nikamuongelesha kama Boyfriend ila haoneshi kukubaliana na ninachomuongelesha. Haniangalii, anaangalia pembeni..

Nikimwambia mambo ya msingi na yenye kustawisha mahusiano yetu anajibu kwa mkato, mfano "Sawa" "Nimekuelewa" "Aya". Kwa mfano nikitishia kuachana nae, anajibu "Sawa kama umeamua". Mambo ni mengi..

Sasa me nahtaji nisimuabudu. Nimeshaharibu kumkalia kimya nimeshndwa. Nimejarbu kuAct kigumu ila kuna muda nalegea tena. Nahisi hana upendo wa dhati kwangu, NIFANYE NINI??
 
Acha kuleta mambo ya mapenzi ofisini kwako... jifunze kuwa na nidhamu mkuu
Issue sio mapenzi ofisini, issue OP ndio wale vijana wanaoendeshwa hovyo na mapenzi, hawa ndio wale hupelekeshwa kibwege bwege kama sio wanaume, mtu ashakwambia anamuabudu mpenzi wake, zimo kweli humo. Vijana wa kiume mmekuaje now days?
 
Nina Girlfriend wangu, nampenda sana. Naye ananipenda sana (kwa mujibu wa anavyodai). Nimeshakutana naye kimapenzi zaidi ya mara 2. Huwa najitahd kumfanyia kila kizuri

Ofisi yangu inapatikana karibu na nyumbani kwao, ila kinachonishangaza, huwa haji kama Girlfriend wangu, anakuja kama mteja. Akifika na nikamuongelesha kama Boyfriend ila haoneshi kukubaliana na ninachomuongelesha. Haniangalii, anaangalia pembeni..

Nikimwambia mambo ya msingi na yenye kustawisha mahusiano yetu anajibu kwa mkato, mfano "Sawa" "Nimekuelewa" "Aya". Kwa mfano nikitishia kuachana nae, anajibu "Sawa kama umeamua". Mambo ni mengi..

Sasa me nahtaji nisimuabudu. Nimeshaharibu kumkalia kimya nimeshndwa. Nimejarbu kuAct kigumu ila kuna muda nalegea tena. Nahisi hana upendo wa dhati kwangu, NIFANYE NINI??
Weka vikwazo vya kiuchumi Kisha kata misaada yote
 
Nina Girlfriend wangu, nampenda sana. Naye ananipenda sana (kwa mujibu wa anavyodai). Nimeshakutana naye kimapenzi zaidi ya mara 2. Huwa najitahd kumfanyia kila kizuri

Ofisi yangu inapatikana karibu na nyumbani kwao, ila kinachonishangaza, huwa haji kama Girlfriend wangu, anakuja kama mteja. Akifika na nikamuongelesha kama Boyfriend ila haoneshi kukubaliana na ninachomuongelesha. Haniangalii, anaangalia pembeni..

Nikimwambia mambo ya msingi na yenye kustawisha mahusiano yetu anajibu kwa mkato, mfano "Sawa" "Nimekuelewa" "Aya". Kwa mfano nikitishia kuachana nae, anajibu "Sawa kama umeamua". Mambo ni mengi..

Sasa me nahtaji nisimuabudu. Nimeshaharibu kumkalia kimya nimeshndwa. Nimejarbu kuAct kigumu ila kuna muda nalegea tena. Nahisi hana upendo wa dhati kwangu, NIFANYE NINI??
Uko emotional sana, hii hali ukiendelea nayo utakua chanzo cha kuvunia Kila mahusiano mapya utakayo yaanzisha kwa maana Kila unapotoa ule mrejesho unaopewa kutoka upande wa pili unahisi hauko kwenye uzani sawa kwa maana ya kwamba unachopewa hauridhiki nacho.

Hii ni character moja wapo ya masimp kwa maana kwa jinsi hali ilivyo ukoradhi kufanya lolote ili uweze kuprove upendo wako kwake, which is wrong.

Mpenzi wako hajivunii kuwa na wewe, na possibility ni mbili ni either kawaweka kwenye mzani wewe na mtu mwingine wa jirani na hapo au yupo na wewe kwasababu kuna kitu anafaidika nacho.
 
Mwenzio anawaza jinsi ya kumpata boss wewe unamletea i lavu yuu nyingi, dogo fallah nini wewe?!!! HEBU TAFUTA PESA UACHE KULILIA UJINGA 😡
 
Back
Top Bottom