KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Waungwana kuna kijina hapa maeneo ya jamaica camp ameniomba msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi hii ni mara nilipowaambia kuwa mimi nilivuta mara moja na nikaacha baada ya kuniletea madhara.
Amesema amejaribu kujizuia asivute lakini ameshindwa pia wazazi wake wamenitaka niwasaidie ili mtoto wao aiache bangi.
Kama kuna mtu anajua dawa au mbinu anisaidie kumuokoa.
====
Amesema amejaribu kujizuia asivute lakini ameshindwa pia wazazi wake wamenitaka niwasaidie ili mtoto wao aiache bangi.
Kama kuna mtu anajua dawa au mbinu anisaidie kumuokoa.
====
Jamani mimi ninahitaji ushauri wa mambo mbalimbali katika maisha ila sihitaji ushauri kutoka kwa vijana wadogo nataka watu wazima umri miaka 25 and above ndio.
Wanishauri na sio wanaume nataka kina dada na kina mama wao ndio wana ushaurI mzurI na ndio ninaouitaji coz ushauri wa wanaume ndio umenifanya niombe ushauri kwa kina dada na kina mama baada ya kunipoteza nina mambo mawili tu ambayo ndio nataka mnishauri 1.
Kwa mliofanikiwa kimaisha ni mbinu gani mmetumia za kuwafikisha hapo mlipo 2, nahitaj kuacha kuvuta bangi nakuwa muwazi tu mimi na iyo tabia sasa nikiomba ushauri wa boys wenzangu wananiambia nisiache coz ni jani la ufahamu hata kwenye bible wanasema kuleni majani ya kondeni mpate ufahamu sijui wanasema ni knowledge wengine wanasema ndio inanifanya nifaulu shule coz shuleni mimi sijawahi kupata division chini ya one tokea o level adi advance hata mitihani ya kawaida ambayo sio NECTA nilikua napata division one tu pamoja na necta zote na nakula kitu cha Arusha.
Sasa hivi ninaanza university (degree ) sitaki tena kula kitu cha Jamaica NIFANYAJE NIACHE?
USHAURI WOTE NITUMIE KWA TXT AU CALL 0656879668 kina dada na kina mama tu.