JAmani mimi ninahitaji ushauri wa mambo mbalimbali katika maisha ila sihitaji ushauri kutoka kwa vijana wadogo nataka watu wazima umri miaka 25 and above ndio.wanishauri na sio wanaume nataka kina dada na kina mama wao ndio wana ushaur mzur na ndio ninaouitaj coz uxhaur wa wanaume ndio umenifanya niombe ushaur kwa kina dada na kina mama baada ya kunipoteza nina mambo mawili tu ambayo ndio nataka mnixhaur 1::: kwa mliofanikiwa kimaisha ni.mbinu gani mmetumia za kuwafikisha hapo mlipo 2:: nahitaj kuacha kuvuta bangi nakua muwaz tu mm na iyo tabia sasa nikiomba ushaur wa boys wenzangu wananiambia nisiache coz.ni.jani la ufahamu ata kwenye bible wanasema kuleni majan.ya kondeni.mpate ufahamu cjui wanasema ni knowledge wengne wanasema ndio inanifanya nifaulu xhule coz xhuleni mm xijawahi kupata division chini ya one tokea o level adi advnce ata mitihan ya kawaida ambayo xio necta nilikua napata division one tu pamoja na necta zote na nakula kitu cha arusha saaaana..sasa ivi ninaanza university (degree ) ctak tena kula kitu cha Jamaica NIFANYAJE NIACHE??? USHAURI WOTE NITUMIE KWA TXT AU CALL 0656879668 kina dada na kina mama tu 🙂