Msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi


sigara ni rahisi kuacha endapo hautumii pombe, kaz ni kwako chukua hatua
 

bonge la ushaur mkuu
 

kwahiyo mpaka sasa bado unavuta? Vp maendeleo yako ya sasa ukifananisha na kipind kile ukiwa huvuti
 
Ila nimewah kusikia mtu unapovuta bang kwa muda mrefu inafikia mahal mwil unazoea na hapo unajikuta na nia ya kubadilisha kilev ili kuongeza stimu na ndo mwanzo wa kujidunga na kula madawa ya kulevya. It's time to change and it's begin with you
 

Man, nakuelewa sana, Asante kwa Ushauri Mzuri, but this thing has done me no wrong, Na napenda the way i behave when am high, than when am normal. I do it once or twice a day, the Only Fear i have ni my health, hicho ndicho kitu Pekee nakiwaza linapokuja suala la kuitumia hiyo kitu.

Najitahidi kufanya mazoezi, pia nakunywa maji mengi ili kupunguza athari za kiafya.

But apart from that, Naona it does mr just Fine. Kwanini Niache?
 
Ila nimewah kusikia mtu unapovuta bang kwa muda mrefu inafikia mahal mwil unazoea na hapo unajikuta na nia ya kubadilisha kilev ili kuongeza stimu na ndo mwanzo wa kujidunga na kula madawa ya kulevya. It's time to change and it's begin with you

I Pray not to reach that stage, Nitaacha, japo sijui lini.
 
Wamebarikiwa wale wavutao mmea mtakatifu, bangi hukuweka katika hali ya tahajudi, yaani ukaribu na Muumba. Endelea kubarikiwa mkuu Noel 2014
 
Last edited by a moderator:
Umeruka mkojo umekanyaga nnya mkuu..!
Sigara ni shiida kuiacha lazima uwe committ sana ..
Cha msingi fanya mazoezi sana pushup sana, jichanganye
 
Wamebarikiwa wale wavutao mmea mtakatifu, bangi hukuweka katika hali ya tahajudi, yaani ukaribu na Muumba. Endelea kubarikiwa mkuu Noel 2014

Ha ha ha haaaa. Hii sikuijua, nadhani nitahitaji darasa juu ya hili zaidi Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha haaaa. Hii sikuijua, nadhani nitahitaji darasa juu ya hili zaidi Mkuu.
Ndio, usipumbazwe na hawa walioiweka bangi miongoni mwa madawa ya kulevya ili kulinda biashara zao haramu za madawa. Mmmea umekuwa na uhusiano wenye manufaa na binadamu kwa zaidi ya miaka elfu kumi, hadi wanasiasa fulani pale MArekani walipoamua kuharamisha 'dawa' kwa manufaa yao ya kiviwanda.

Amkeni watu wa Mungu, puff puff moshi!
:majani7:
 
maandiko yanasema kuleni majani ya kondeni.ili mpate maarifa so dnt stop smokin.coz ni.jani la knowledge ka uko dar nitafute tule zetu mmea tuwe high tu think deep
 
Angalizo: Watoto wa kuomba bangi haziwafai, sababu wengi wao huwa na wadudu (majini). Kuna mwanangu mmoja mfano wa hao nilio wataja, ye akivuta tu linamtuma kukimbia kimbia tu, yani ile nusu uchizi, kimtindo mpaka inakua kero mkivuta nae. Lakini tangu jamaa ajigundue (kua ni mtoto wa chini ya mbuyu) ameacha bange nasasa kaamua kua mlevi tu. Kwahiyo ukijiona bangi inakupeleka less ujue huendani nayo, tafuta ulevi mwengine.
 
Mpokee Yesu kuwa mokozi.. halafu utajazwa Roho mt. then hutatamani bhange tena..
Kucheka na kulia zote "kelele tu", huko kanisani kwenyewe tunapewaga Mvinyo! Sasa sibora nivute kuliko kunywa!! Anaepinga bangi ilhali yeyemwenyewe ni mtu wa kiti kirefu huyo ni punguani wa akili.
 

Umeruka maji umekanyaga tope
 
Am usiache kuvuta bangi coz hata kiswa English chako pia nikutokana na kuvuta mibangi endelea tu utafika mbali xana
Mkuu bangeeee ni moja ya maendeleo kwa vibaka angalia ilikua wapi na Sasa uko wapi hatua moja mbele daima
 
Ila nimewah kusikia mtu unapovuta bang kwa muda mrefu inafikia mahal mwil unazoea na hapo unajikuta na nia ya kubadilisha kilev ili kuongeza stimu na ndo mwanzo wa kujidunga na kula madawa ya kulevya. It's time to change and it's begin with you
Alie kwambie kakutapeli kimaneno huyo. Kwanza bangi ndio kilevi pekee kisichipenda kuchanganywa na kilevi chingine chichote. Yani ukiizoea tu inaku permite-se usitumie kilevi chingine chichote. Mvuta bangi (sio anaevuta ili akate haibu) hua hapendi pombe, sigara sikuambii hiyo cocaine uliyo itaja hapo, na ikitikea akatumia kwa siku, basi atakua ameharibu siku yake, maana hatokua ktk hali yake ya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…