Msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi

maandiko yanasema kuleni majani ya kondeni.ili mpate maarifa so dnt stop smokin.coz ni.jani la knowledge ka uko dar nitafute tule zetu mmea tuwe high tu think deep
Mkuu niko kanchi kawatu napiga kitabu, hapa Escola kuna niko nawenzangu flani tunakamua hayo makitu, yani simchezo tunafanya vizuri tu ktk masomo yetu, diferrente com os otro que nao fumam, tena zaidi ma curtedor wale wanaoabudu bombe na wanawake. Paca e uma nice na vida de todos entre nos lakini wajinga wachache wanalichafua.
 

mbaya xizifuat ila nzur ntazifuata xio kila aliyefanikiwa ametumia njia hiyo unayowaza joh
 

hahaha mnajua kuchimba aise
 
Noel jina zuri!! tafuta ushauri wa watumishi wa Mungu - nina imani utaiacha hali hiyo. Nimeshuhudia vijana kadhaa hasa wa kike wakiacha hiyo kitu baada ya kuombewa kule tabata-segerea kanisa la Prophet Joseph kanisa au hekalu la ZOE. Chukua hatua.
 
Last edited by a moderator:
Kama umeamini INAKUSAIDIA; kitu gani kimekusukuma ufikirie. KUACHA. TENA??
 
usivute bangi, bangi haina stages za kuacha just quit and you will be free, kwanini inakufanya kuwa mtumwa?
 

Kantinyuu.. BLezin' Till yo Head Stuck...
Yaah Maaan...
 
Mwamini Yesu,uokoke.Nguv ya Roho Mtakatifu itakupa ujasiri unaotaka.Soma Yoh 1:12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu.
 

vuta na endelea kufanya mema,tuko pamoja rasta
 

itafika muda ubongo uta choka na ita kuletea shida sqna wakati wa uzee wako so jaribu kupunguza idadi ya pic za bang unazo vuta taratibu mpaka kuacha kabisa
 
msaada jamani,nataka niache kabisa hii k2(BANGE,majani,kaya,joint,kijiti,msuba n.k).naivuta sana japo nimejitahidi kwa siku roll 1 !kete!.nifanyeje niweze acha kabisa...msaada wadau mjengoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…