msaada jamani,nataka niache kabisa hii k2(BANGE,majani,kaya,joint,kijiti,msuba n.k).naivuta sana japo nimejitahidi kwa siku roll 1 !kete!.nifanyeje niweze acha kabisa...msaada wadau mjengoni
Waungwana kuna kijina hapa maeneo ya jamaica camp ameniomba msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi hii ni mara nilipowaambia kuwa mimi nilivuta mara moja na nikaacha baada ya kuniletea madhara.
Amesema amejaribu kujizuia asivute lakini ameshindwa pia wazazi wake wamenitaka niwasaidie ili mtoto wao aiache bangi.
Kama kuna mtu anajua dawa au mbinu anisaidie kumuokoa.
====
Akipata madhara kama wewe nayeye ataacha.Waungwana kuna kijina hapa maeneo ya jamaica camp ameniomba msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi hii ni mara nilipowaambia kuwa mimi nilivuta mara moja na nikaacha baada ya kuniletea madhara.
Amesema amejaribu kujizuia asivute lakini ameshindwa pia wazazi wake wamenitaka niwasaidie ili mtoto wao aiache bangi.
Kama kuna mtu anajua dawa au mbinu anisaidie kumuokoa.
====
Mimi sikumbuki niliachajeNi kweli kabisa kwakuwa AN IDLE MIND IS A CARPENTRY OF A DEVIL! !!!