Msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi

Msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi

msaada jamani,nataka niache kabisa hii k2(BANGE,majani,kaya,joint,kijiti,msuba n.k).naivuta sana japo nimejitahidi kwa siku roll 1 !kete!.nifanyeje niweze acha kabisa...msaada wadau mjengoni


Ukiamua unaweza kuacha hata bila msaada wowote.
 
Kama umeshindwa kutumia nguvu ya maamuzi toka ndani yako hiyo ni adiction.tumia mzizi glycyrrhiza grabra,mbegu milk thistle,passion flower, kudzu au mzizi valerian.
 
Waungwana kuna kijina hapa maeneo ya jamaica camp ameniomba msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi hii ni mara nilipowaambia kuwa mimi nilivuta mara moja na nikaacha baada ya kuniletea madhara.

Amesema amejaribu kujizuia asivute lakini ameshindwa pia wazazi wake wamenitaka niwasaidie ili mtoto wao aiache bangi.

Kama kuna mtu anajua dawa au mbinu anisaidie kumuokoa.

====

nenda hospitali kwa msaada zaid wa kukusaidia kuacha bangi
 
Waungwana kuna kijina hapa maeneo ya jamaica camp ameniomba msaada jinsi ya kuacha kuvuta bangi hii ni mara nilipowaambia kuwa mimi nilivuta mara moja na nikaacha baada ya kuniletea madhara.

Amesema amejaribu kujizuia asivute lakini ameshindwa pia wazazi wake wamenitaka niwasaidie ili mtoto wao aiache bangi.

Kama kuna mtu anajua dawa au mbinu anisaidie kumuokoa.

====
Akipata madhara kama wewe nayeye ataacha.
 
Back
Top Bottom