Msaada! Jinsi ya kuacha ngono iliokithiri

Msaada! Jinsi ya kuacha ngono iliokithiri

Wakuu naombeni ushuri wenu Wakuu naona nazidi kumkosea mungu kwa Haya ninayoyafanya na pia napoteza pesa nyingi Sana kwenye kula mbususu Wakuu natamani kuacha ila sijui nitaanzia wapi aisee

Naombeni msaada Wakuu
Ukipata majukumu ya familia au MARADHI HAZINA utatulia mwenyewe trust me..

Asylam alycum
 
Wakuu naombeni ushuri wenu Wakuu naona nazidi kumkosea mungu kwa Haya ninayoyafanya na pia napoteza pesa nyingi Sana kwenye kula mbususu Wakuu natamani kuacha ila sijui nitaanzia wapi aisee

Naombeni msaada Wakuu
Kwa mwanaume kila unapokula hiyo mbususa unapunguza siku zako za kuishi yaani unazeeka haraka wafuatilie wanaochimba mgodi sanaa wakoje
 
Pole sana pia hongera kwakuja hapa kuthibitisha kua wewe nikijana wa hovyo kwenye jamii na mbele za universe.
Walio wengi hujificha kwenye matatizo yao wakidhani ndio njia pekee yakuishinda aibu na fedheha watakayo pata hapo badae.
Nisikiliza vizuri sana wewe ni universe wewe ndio mtengenezaji wa hii dunia nawewe ndio mbomoaji wa dunia hii.
Amua sasa,anza kuijenga upya dunia acha uchafu wanamna hiyo.
Funga harafu fanya meditation walau kwasiku mara2.
Kwamsaada na muongozo chukua namba hapo profile nicheki WhatsApp uanze darasa
🙏🙏🙏
 
Wakuu naombeni ushuri wenu Wakuu naona nazidi kumkosea mungu kwa Haya ninayoyafanya na pia napoteza pesa nyingi Sana kwenye kula mbususu Wakuu natamani kuacha ila sijui nitaanzia wapi aisee

Naombeni msaada Wakuu


Fanya meditation

Meditation huwa inaondoa mawazo machafu kwa kiwango kikubwa hasa ukiifanya kuanzia saanane hivi.


Pia soma kitabu cha semen retention uangalie hiyo nguvu ya kutoa Semen/sperms utafute eneo uiweke hii huwa wanafanya sana Watu wanohitaji kufanikiwa katika mambo makubwa yaweza kuwa Kazi, biashara n.k. mfano Elon Musk Michael Tyson , Steve Job ,Socrates n.k


Semen retention na no FAP hizi zinafanana Ila zimetofautiana kidogo.


Kiroho Mwanaume ngono inamdumaza Sana

Na kiafya kimwili inadumaza pia mambo ya immunity , n.k.


So ushauri wangu ni Ku-replace hiyo nguvu .

Mfano hii nguvu Mimi huwa na nai-replace kea Kusoma vitabu , kujifunza lugha za kigeni na kufanya maombi.


All the best you need to drive sex and not to be driven by sex 🙏🏽

What you reveal you can heal

Utapona na utarudi katika hali yako nzuri
 
Pole sana pia hongera kwakuja hapa kuthibitisha kua wewe nikijana wa hovyo kwenye jamii na mbele za universe.
Walio wengi hujificha kwenye matatizo yao wakidhani ndio njia pekee yakuishinda aibu na fedheha watakayo pata hapo badae.
Nisikiliza vizuri sana wewe ni universe wewe ndio mtengenezaji wa hii dunia nawewe ndio mbomoaji wa dunia hii.
Amua sasa,anza kuijenga upya dunia acha uchafu wanamna hiyo.
Funga harafu fanya meditation walau kwasiku mara2.
Kwamsaada na muongozo chukua namba hapo profile nicheki WhatsApp uanze darasa
🙏🙏🙏
👆👆👆
 
Pole sana pia hongera kwakuja hapa kuthibitisha kua wewe nikijana wa hovyo kwenye jamii na mbele za universe.
Walio wengi hujificha kwenye matatizo yao wakidhani ndio njia pekee yakuishinda aibu na fedheha watakayo pata hapo badae.
Nisikiliza vizuri sana wewe ni universe wewe ndio mtengenezaji wa hii dunia nawewe ndio mbomoaji wa dunia hii.
Amua sasa,anza kuijenga upya dunia acha uchafu wanamna hiyo.
Funga harafu fanya meditation walau kwasiku mara2.
Kwamsaada na muongozo chukua namba hapo profile nicheki WhatsApp uanze darasa
🙏🙏🙏
Ya kale yamepita tazama yamekua mapya

Wale wa milima ya upogoro wakasema : Mavi ya kale hayanuki
 
Back
Top Bottom