Msaada! Jinsi ya kuacha ngono iliokithiri

Msaada! Jinsi ya kuacha ngono iliokithiri

Hujui maana ya akili mnembo akili mnembo ni akili bandia, (I know that here we have different level of understanding)
Mnembo mwenyewe

Waulize wamakonde maana ya Mnembo watakwambia ni nini

Hao BAKITA Si wanakurupuka tu hata matusi wanayarasmisha bila kufanya analysis

KITOKO kwa wakongo ni Neno la sifa Ila kwa Wasukuma na watu wa Kusini Neno KITOKO ni tusi kubwa sana
 
Sio
Kwa mwanaume kila unapokula hiyo mbususa unapunguza siku zako za kuishi yaani unazeeka haraka wafuatilie wanaochimba mgodi sanaa wakoje
Kweli. (Hili nalo liJF jipya hata halieleweki linataka nini?. Ukifungua tu kumQuit mtu linatelezea mbele mara nyuma. Kama hapo,mpaka uanze kulipanga panga. Muda mwingine cha kupostoa unashangaa hakipandi. Wanakuja kusema ni simu. Sio kweli nimeona wengi tu hapa) unaachanaje na ile Jf ya zamani yenye mpangilio mzuri wa kueleweka kirahisi unaingia kwenye uzamaniii)
 
Sio

Kweli. (Hili nalo liJF jipya hata halieleweki linataka nini?. Ukifungua tu kumQuit mtu linatelezea mbele mara nyuma. Kama hapo,mpaka uanze kulipanga panga. Muda mwingine cha kupostoa unashangaa hakipandi. Wanakuja kusema ni simu. Sio kweli nimeona wengi tu hapa) unaachanaje na ile Jf ya zamani yenye mpangilio mzuri wa kueleweka kirahisi unaingia kwenye uzamaniii)
Zamani hizi habari za uzinzi hazikuwemo kabisa zimeibuka hivi karibuni na kushamili mwaka huu, nadhani wasimamizi wa maudhui, (moderators), wanazifurahia zaidi
 
Hao BAKITA Si wanakurupuka tu hata matusi wanayarasmisha bila kufanya analysis

KITOKO kwa wakongo ni Neno la sifa Ila kwa Wasukuma na watu wa Kusini Neno KITOKO ni tusi kubwa sana
Ahahahahah.. sijui kwann nimecheka sana hapa.
Sasa kwa wasukuma ukisema "mwasi kitoko" itakua na maana gani?.
Maana LIKUD alisemaga kwa kisukuma "mwasi" ni msichana.

Nisaidie kujua maana ya mnemba kwa hao watu wa kusini.
Na maana ya kitoko kwa wasukuma mkuu😂
 
Wakuu naombeni ushuri wenu Wakuu naona nazidi kumkosea mungu kwa Haya ninayoyafanya na pia napoteza pesa nyingi Sana kwenye kula mbususu Wakuu natamani kuacha ila sijui nitaanzia wapi aisee

Naombeni msaada Wakuu


Hayo Mambo sisi wenyewe kwa Akili na nguvu na juhudi Zetu Hakika hatuwezi isipokua kwa NEEMA ya MUNGU tu, ndani ya NEEMA ya MUNGU kuna kila kitu cha kutuwezesha kuishi MAISHA ambayo MUNGU aliyetupa hi NAFASI ya kutoa na kuingiza pumzi aliyakusudia tuje tuyaishi


Kwa haya unayoyafanya unamfurahisha mungu wala humkosei, MUNGU ndie unaye mkosea hapa ila mungu Ndio mapenzi yake hayo Hivyo humkosei na utukufu unaludi kwake b'se hicho unachokifanya ni ibada ya sanamu( unaemuabudu shetani)
 
Back
Top Bottom