Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Usipo acha utaishia kupata ukimwi mdogo wangu uzinzi sio jambo la maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imetosha Sasa ahhhhKula km kula km kijana.......
Hujui maana ya akili mnembo akili mnembo ni akili bandia ama kufikiri nje ya sanduku, (I know that here we have different levels of understanding)Mnembo mwenyewe
Natafuta solution! Ipi ni solution?Acha uzinzi unajitafutia magonjwa
Mnembo mwenyeweHujui maana ya akili mnembo akili mnembo ni akili bandia, (I know that here we have different level of understanding)
Cancelling ndio nini?Hapo nenda hospital kwa wataalam wakupe Cancelling
Noted with thanksMtu akishauri hivi sijui namuonaje asee, hakuna mtu huwa anachukua ushauri wa hivi msipoteze mda
We mshamba kweli.... si uoeNatafuta solution! Ipi ni solution?
Mtu akishauri hivi sijui namuonaje asee, hakuna mtu huwa anachukua ushauri wa hivi msipoteze mdaHapo nenda hospital kwa wataalam wakupe Cancelling
Nadhani alitaka kusema ushauri nasahaCancelling ndio nini?
Hiz code zako kijana ni hatar kabisaaAsylam alycum
Ishara ya kuibariki ikaliwe nje na wahuni 😂Kuna siku itafika tutakuwa tunaiwekea mikono tu
Kweli. (Hili nalo liJF jipya hata halieleweki linataka nini?. Ukifungua tu kumQuit mtu linatelezea mbele mara nyuma. Kama hapo,mpaka uanze kulipanga panga. Muda mwingine cha kupostoa unashangaa hakipandi. Wanakuja kusema ni simu. Sio kweli nimeona wengi tu hapa) unaachanaje na ile Jf ya zamani yenye mpangilio mzuri wa kueleweka kirahisi unaingia kwenye uzamaniii)Kwa mwanaume kila unapokula hiyo mbususa unapunguza siku zako za kuishi yaani unazeeka haraka wafuatilie wanaochimba mgodi sanaa wakoje
Zamani hizi habari za uzinzi hazikuwemo kabisa zimeibuka hivi karibuni na kushamili mwaka huu, nadhani wasimamizi wa maudhui, (moderators), wanazifurahia zaidiSio
Kweli. (Hili nalo liJF jipya hata halieleweki linataka nini?. Ukifungua tu kumQuit mtu linatelezea mbele mara nyuma. Kama hapo,mpaka uanze kulipanga panga. Muda mwingine cha kupostoa unashangaa hakipandi. Wanakuja kusema ni simu. Sio kweli nimeona wengi tu hapa) unaachanaje na ile Jf ya zamani yenye mpangilio mzuri wa kueleweka kirahisi unaingia kwenye uzamaniii)
Kula k kijana kula k.....vunja mifupa kama bado meno iko.Imetosha Sasa ahhhh
Ahahahahah.. sijui kwann nimecheka sana hapa.Hao BAKITA Si wanakurupuka tu hata matusi wanayarasmisha bila kufanya analysis
KITOKO kwa wakongo ni Neno la sifa Ila kwa Wasukuma na watu wa Kusini Neno KITOKO ni tusi kubwa sana
ALe tu k, na yako mpee ,maisha ndio haya hayaKula k kijana kula k.....vunja mifupa kama bado meno iko.
Wakuu naombeni ushuri wenu Wakuu naona nazidi kumkosea mungu kwa Haya ninayoyafanya na pia napoteza pesa nyingi Sana kwenye kula mbususu Wakuu natamani kuacha ila sijui nitaanzia wapi aisee
Naombeni msaada Wakuu
Amekula mpaka anajiogopa yeye Mwenyewe....Kula km kula km kijana.......