Angekuwa anajua asingeuliza, hajui au niseme hatujui wote, naomba utusaidie tunafanyajedah hadi hili kwa fundi jaman!!!au ukuta ni wa gharama sana??
Mkoani mkuuBila Shaka upo darslamโฆ.!!?๐ ๐คฃ
Sote ni wanaume Asante mkuu lakini hivyo drill si mpaka kwa mafundi welding au wale wa mapazia ukutani,duh ni mwanamke au mwanaume ?? , sorry lakni mkuu kwa swali ..mana naona kama ni task nyepesi sana
But anaweza fanya iv...
usijali mkuu naelewa kama haudeal na hujawahi kukutana na hizi kazi kidogo changamoto ..drill hata ya kukodi tuu kwa fundi ile ndogo , ila kama ni ngumu kuipata Fanya iv ;Sote ni wanaume Asante mkuu lakini hivyo drill si mpaka kwa mafundi welding au wale wa mapazia ukutani,
Dah! Asante sana mkuu nimekupata kabisa nimesoma maelekezo nimeelewausijali mkuu naelewa kama haudeal na hujawahi kukutana na hizi kazi kidogo changamoto ..drill hata ya kukodi tuu kwa fundi ile ndogo , ila kama ni ngumu kuipata Fanya iv ;
-Nunua msumali wa zege wa 4 inchi mmoja tuu , sidhani hata kama unafika 200/= tsh ..
-then kwenye ile level uliyopima unataka iyo TV ikae , chukua ile bracket inayobeba TV Fanya kucholea kwenye ukuta Yale matundu ya screw either kwa pencil au huohuo msumari
-then ondoa bracket , kwenye izo alama chukua nyundo na huo msumali anza kutoboa ayo matundu ..ukimaliza chukua fisha zako then chomeka kwenye izo shimo ulizopata .
-then chukua bracket yako ifunge , cheki kama imekaa poa , bandika TV yako ..hamna cha ajabu boss
Nb: gharama ya misumali na fisha mpaka kazi inaisha sidhan hata kama afu 3 itaisha ..
Hivi samahani ukiwa unazifunga unaweza kutumia nini ukiwa unafungausijali mkuu naelewa kama haudeal na hujawahi kukutana na hizi kazi kidogo changamoto ..drill hata ya kukodi tuu kwa fundi ile ndogo , ila kama ni ngumu kuipata Fanya iv ;
-Nunua msumali wa zege wa 4 inchi mmoja tuu , sidhani hata kama unafika 200/= tsh ..
-then kwenye ile level uliyopima unataka iyo TV ikae , chukua ile bracket inayobeba TV Fanya kucholea kwenye ukuta Yale matundu ya screw either kwa pencil au huohuo msumari
-then ondoa bracket , kwenye izo alama chukua nyundo na huo msumali anza kutoboa ayo matundu ..ukimaliza chukua fisha zako then chomeka kwenye izo shimo ulizopata .
-then chukua bracket yako ifunge , cheki kama imekaa poa , bandika TV yako ..hamna cha ajabu boss
Nb: gharama ya misumali na fisha mpaka kazi inaisha sidhan hata kama afu 3 itaisha ..
pamoja mkuu ..Dah! Asante sana mkuu nimekupata kabisa nimesoma maelekezo nimeelewa
screw drive , almaaarufu star , iyo star azima tuu sababu ni kazi ya mda mchacheHivi samahani ukiwa unazifunga unaweza kutumia nini ukiwa unafunga
Ni aibu kubwa sana anatudhalilisha wanaume wenzieNi aibu kwa mwanaume kumuingiza mwanume mwenzako chumbani kwako eti akufungie TV
Sio aibu. Nimefunga TV 2 juzi. Moja chumbani na nyingine ukutani. Nilimuita fundi Kwa sababu sikuwa na mashine ya kutobolea ukuta. Msumari wa zege ni sawa lakini Kuna haja Gani ya kuaribu ukuta au kutafuta nyufa za bure ikiwa fundi ana mashine ya kutobolea vizuri. Nilijaribu mwenyewe kutoboaga ukuta wa chooni ili niweke kile kidude cha kujisafisha ila nikaishia kuvunja tiles tu. Wakati mwingine tuwaache mafundi nao wapate kaziNi aibu kwa mwanaume kumuingiza mwanume mwenzako chumbani kwako eti akufungie TV
Mkuu umeongea vizuri sana nimekupa heshima yako๐๐ achana na wakina asakeSio aibu. Nimefunga TV 2 juzi. Moja chumbani na nyingine ukutani. Nilimuita fundi Kwa sababu sikuwa na mashine ya kutobolea ukuta. Msumari wa zege ni sawa lakini Kuna haja Gani ya kuaribu ukuta au kutafuta nyufa za bure ikiwa fundi ana mashine ya kutobolea vizuri. Nilijaribu mwenyewe kutoboaga ukuta wa chooni ili niweke kile kidude cha kujisafisha ila nikaishia kuvunja tiles tu. Wakati mwingine tuwaache mafundi nao wapate kazi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah hadi hili kwa fundi jaman!!!au ukuta ni wa gharama sana??