Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tv unaita fundi mkuu hebu kanunue concrete nails ngonga panua tunduweka fisher na borit ukazeWakuu kwema nyote, naomba nianze tatizo hili kuna jamaa kanunua flat screen na vile vichuma wakampa vya kuvungia ukutani, maana akisema aweke ikae kwenye meza anahofia watoto watasukuma.
Sasa anatafuta fundi au jinsi ya kuifunga ukutani afanyeje?
Natanguliza shukrani [emoji120]
PlaizHivi samahani ukiwa unazifunga unaweza kutumia nini ukiwa unafunga
Ni mwanaume wa dar au mkoani?Wakuu kwema nyote, naomba nianze tatizo hili kuna jamaa kanunua flat screen na vile vichuma wakampa vya kuvungia ukutani, maana akisema aweke ikae kwenye meza anahofia watoto watasukuma.
Sasa anatafuta fundi au jinsi ya kuifunga ukutani afanyeje?
Natanguliza shukrani 🙏
AFu naye anaitwa baba kabisa na aliandikishwa kama mkuu wa kaya!dah hadi hili kwa fundi jaman!!!au ukuta ni wa gharama sana??