Msaada: Jinsi ya kuhamisha Bajaji kutoka Mbeya kuja Dar es Salaam

poikiloman91

Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
6
Reaction score
3
Nataka nihame kutoka Mbeya kwenda Dar es Salaam ila nina chombo cha moto (bajaji) nataka nihame nayo.

Hivyo naombeni taratibu za kufuata ili niweze kuhama nayo na kuifanyia kazi nitakapo fika Dar, naombeni maelezo nianzie wapi mpaka wapi maana ilikuwa na usajili wa Mbeya.
 
Hivi bajaji haiwezi kukianzisha kwa umbali wa Mbeya-Dar?🤔 Ongea na madereva wa malori yanayotoka Mbeya kuja Dar coz nishawahi kuona bajaji inasafirishwa kwa njia hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…