poikiloman91
Member
- Dec 1, 2021
- 6
- 3
Nataka nihame kutoka Mbeya kwenda Dar es Salaam ila nina chombo cha moto (bajaji) nataka nihame nayo.
Hivyo naombeni taratibu za kufuata ili niweze kuhama nayo na kuifanyia kazi nitakapo fika Dar, naombeni maelezo nianzie wapi mpaka wapi maana ilikuwa na usajili wa Mbeya.
Hivyo naombeni taratibu za kufuata ili niweze kuhama nayo na kuifanyia kazi nitakapo fika Dar, naombeni maelezo nianzie wapi mpaka wapi maana ilikuwa na usajili wa Mbeya.