Msaada jinsi ya kujua tarehe ya mimba

karma alvin

Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
51
Reaction score
8
Jaman naombeni mnijuze.

Hivi ukifanya mapenzi siku ya mwisho ya period bila condom unaweza kupata mimba? mfano start 15 end 19 january, tarehe hiyo hiyo 19 january ukafanya je uwezekano upo?
 
Mimba huweza tungwa ukifanya mapenzi bila ndom siku ya 12-16 kutokea hedhi.

Siku ya kwanza ya hedhi ni siku ya kwanza ya mzunguko wa mwanamke so hesabu kuanzia hiyo siku ya kwanza hadi ya 11 we gegeda kwa staili yeyote ile hata pata mimba, baada ya hapo pumzika siku ya 12-16, baada ya hapo endelea kugegeda.
 
Na wale wenye mzunguko mfupi ambao kitaalam nasikia ili wapate mtoto lazima wagegedane wakati akiwa kwenye hedhi inakuwaje? Kuna ukweli katika hilo au ni uzushi?
 
 

Afadhari nimepata somo
 
Hata kuanzia siku ya 9 baada ya M.P mimba yaweza kutungwa pia.
 
Sasa zile mbegu(sperms) zitarutubisha nini na yai linakuwa tayari limekwisha vunjika?
Na wale wenye mzunguko mfupi ambao kitaalam nasikia ili wapate mtoto lazima wagegedane wakati akiwa kwenye hedhi inakuwaje? Kuna ukweli katika hilo au ni uzushi?
 
Ila inategemea na mzunguko wa mtu, wengine huwa mbaya hadi siku ya19 kwa ambao tarehe zinavurugika bt wenye mzunguko mfupI mmh napata shaka bt kuna watu huwa wanashauriwa wagegedane wakati huo aliosema mtoa mada ili apate mtoto
 
Na wale wenye mzunguko mfupi ambao kitaalam nasikia ili wapate mtoto lazima wagegedane wakati akiwa kwenye hedhi inakuwaje? Kuna ukweli katika hilo au ni uzushi?

Hilo neno kitaalam umelitumia vibaya.
Unajua hedhi inatokea kwa sababu gani?
Iwe mzunguko mfupi au mrefu ovulation day ni 14 na hao wenye mzunguko mfupi ni wachache sana kiasi kwamba unasema hawapo.
 
Ila inategemea na mzunguko wa mtu, wengine huwa mbaya hadi siku ya19 kwa ambao tarehe zinavurugika bt wenye mzunguko mfupI mmh napata shaka bt kuna watu huwa wanashauriwa wagegedane wakati huo aliosema mtoa mada ili apate mtoto

Mimba hutokea baada ya ovulation na sio menstruation, menstruation hutokea ikiwa yai halijarutubishwa.

Mzunguko uwe mfupi au mrefu ovulation day ni day 14. Cha muhimu ni kuwa makini na ovulation day.
 
Hilo neno kitaalam umelitumia vibaya.
Unajua hedhi inatokea kwa sababu gani?
Iwe mzunguko mfupi au mrefu ovulation day ni 14 na hao wenye mzunguko mfupi ni wachache sana kiasi kwamba unasema hawapo.
Mkuu soma vizuri comment yangu, nimeomba kuelimishwa. Kusema tu nimelitumia vibaya bila elimu kwangu hujanitendea haki. NAOMBA ELIMU MKUU
 
Mkuu soma vizuri comment yangu, nimeomba kuelimishwa. Kusema tu nimelitumia vibaya bila elimu kwangu hujanitendea haki. NAOMBA ELIMU MKUU

Ndio maana nmekuuliza, unafaham hedhi ni nini? Hembu tuanzie hapo halafu tuendelee.
 
Mkuu soma vizuri comment yangu, nimeomba kuelimishwa. Kusema tu nimelitumia vibaya bila elimu kwangu hujanitendea haki. NAOMBA ELIMU MKUU

Ndio maana nmekuuliza, unafaham hedhi ni nini au inatokana na nn? Hembu tuanzie hapo halafu tuendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…