Sorry hivi na wale wanawake ambao wanaingia M.P mara2 kwa mwez nao inakuwaje?
Sorry hivi na wale wanawake ambao wanaingia M.P mara2 kwa mwez nao inakuwaje?
Mimba huweza tungwa
ukifanya mapenzi bila ndom siku ya 12-16 kutokea hedhi.
Siku ya kwanza ya hedhi ni siku ya kwanza ya mzunguko wa mwanamke so
hesabu kuanzia hiyo siku ya kwanza hadi ya 11 we gegeda kwa staili
yeyote ile hata pata mimba, baada ya hapo pumzika siku ya 12-16, baada
ya hapo endelea kugegeda.
Hata kuanzia siku ya 9 baada ya M.P mimba yaweza kutungwa pia.
mdanganye sasa kuanzia siku ya 12! Mimba inaweza kutungwa kuanzia siku ya 9 baada MP
Nmepractis hii kitu ndio maana nasema hivyo, x-sperm ina survive 72 hrs and y-sperm 48 hrs na zote huingia kwa wakati mmoja, wanachotofautiana ni speed, y-sperm has high spd than x-sperm.
Nieleze siku ya 9 inawezekanaje kupata mimba.
Kwa haya haya maelezo uliyoyaandika, umeshasema x-sperm zinasurvive 72 hours, so huwezi kumshauri mtu akafanya mapenzi siku ya 9 wakati sperm za x zitakuwa hai hadi siku ya 12? Mimi binafsi ilinitokea, nilisex siku ya 9 na siku-sex tena baada ya hiyo siku na nikapata ujauzito wa first boarn wangu, to me siku za hatari ni kuanzia siku ya 9 hadi 16 after MN
Kwa haya haya maelezo uliyoyaandika, umeshasema x-sperm zinasurvive 72 hours, so huwezi kumshauri mtu akafanya mapenzi siku ya 9 wakati sperm za x zitakuwa hai hadi siku ya 12? Mimi binafsi ilinitokea, nilisex siku ya 9 na siku-sex tena baada ya hiyo siku na nikapata ujauzito wa first boarn wangu, to me siku za hatari ni kuanzia siku ya 9 hadi 16 after MN
Kwa hyo baada ya siku ya 16 unaweza kuendelea kufanya mapenz hd mwisho usipate mimba
Kuanzia siku ya 17 na kuendelea, ila siku ya 17 usiiamini sana, maana hujui saa sahihi ya ovulation.
Ukisoma kwenye net wanasema hivyo na sababu zao hazieleweki.
mdanganye sasa kuanzia siku ya 12! Mimba inaweza kutungwa kuanzia siku ya 9 baada MP
Kama siku ya 12 sprerm zote zitakuwa zimekufa kabla ya ovulation, iliwezekanaje yai kurutubishwa?
Maana ovulation inatokea day 14.
Any way nashukuru kwa taarifa mpya na ww ndo wakwanza kusikia.
day 14 ni counting from the first day ya menses..ovulation ndo inatake place.but tunaongeza na kupunguza mbili meaning she can get pregnant from day 12 to 16.