Wakuu salaam, katika harakati za kutafuta maisha, nimeona niingie shambani.
Swali langu: Inawezekana kwa shamba jipya ukapanda either ufuta au mahindi bila kulima? Yaani ukakata msitu, ukasafisha na kupanda mazao bila kukatua au kuweka matuta? Inawezekana? Na mazao yakakua vizuri tu?
Naombeni muongozo wenu katika hili.
Huku pia Kuna wakina bwana shamba.Hapo ulipo hakuna mabwana shamba mpaka uje kuuliza humu?
Mbona watanzania tumekosa akili kiasi hiki mpaka mambo ya msingi katika mustakabali wa maisha yetu tunayaletea mzaha??
Wewe ndio huna akili mpaka hujui kama humu jamii forum kuna ma bwana shambaHapo ulipo hakuna mabwana shamba mpaka uje kuuliza humu?
Mbona watanzania tumekosa akili kiasi hiki mpaka mambo ya msingi katika mustakabali wa maisha yetu tunayaletea mzaha??
Asante kwa majibu mazuri. Nalimia Namtumbo,Ruvuma mkuuUnalima sehemu gani?
Kuna maeneo mengi hasa mkoa wa Pwani maeneo ya kusini kuelekea mikoa yote ya kusini wanakata msitu wanachoma na kupanda ufuta na/au mahindi kama ulivyosema hakuna shida zaidi ya kusumbua mafukutu/machipukizi ya visiki wakati wa palizi.
Watu wanavuna vizuri tu hasa ufuta.
Kwa mahindi ukitaka mavuno mazuri zaidi ng'oa visiki ila uandae pesa nyingi sana kwa kazi hiyo.
Dah! Ntakushukuru sana kiongozi. Unalimia wapi?Mie mwenyewe nataka nifanye kama wewe mwaka huuu.Nimeshauriwa na wenyeji kuchoma na kokomolea mahindi bila kulima, ila mwaka wa pili kulima lazima na mbolea kidogo.
Kuna kipeperushi cha upandaji wa mahindi na maharage bila kulima ninacho ntakutumia upate uzoefu. Wanaita kilimo cha matandazo, kimeandaliwa na taasisi ya utafiti ya uyole.Ngoje nifukunyue makabeasha.
Ata humu kuna wataalamu pia tena wengi tuHapo ulipo hakuna mabwana shamba mpaka uje kuuliza humu?
Mbona watanzania tumekosa akili kiasi hiki mpaka mambo ya msingi katika mustakabali wa maisha yetu tunayaletea mzaha??
Aina hii ya kulima bila kukatua nimeiona nilivyokuwa Lindi, kilimo hiko kinategemea unalima mazao gan, ufuta, mbaazi, kunde ndio yanafaa zaidWakuu salaam, katika harakati za kutafuta maisha, nimeona niingie shambani.
Swali langu: Inawezekana kwa shamba jipya ukapanda either ufuta au mahindi bila kulima? Yaani ukakata msitu, ukasafisha na kupanda mazao bila kukatua au kuweka matuta? Inawezekana? Na mazao yakakua vizuri tu?
Naombeni muongozo wenu katika hili.
Mahindi yanakubali vizuri sana. mchawi mvua tu. Ardhi ikianza kuchoka baada ya misimu mitatu au palizi zikisumbua unahitaji matuta au trekta hapo lazima uondoe visiki n.k.Ahaa sawa , vipi mahindi hayakubali kwa kilimo hiki?
Ndio nataka nikalime mwaka huu juko njombe,nshafyeka heka 5 nataka niongezee 5Dah! Ntakushukuru sana kiongozi. Unalimia wapi?
Jipya. Ntalima mahindi. Ardhi ni virgini land imejaa matamahuluku, yani hata mtoto anailima.Unalimia mahindi?