Mwita Mtu Mrefu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 739
- 1,113
Habari.
Kwa kipindi cha karibuni nimeanza biashara ya udalali wa magari pikipiki simu vitanda na vitu vingine used hapa Dar.
Nimekutana na changamoto ya kupakua picha zilipostiwa FB ili niweze kupost kwingine
Naomba msaada ni njia gani nitumie
Shukran, Dalali Solo. 0744033555__ TABATA BIMA DAR
Kwa kipindi cha karibuni nimeanza biashara ya udalali wa magari pikipiki simu vitanda na vitu vingine used hapa Dar.
Nimekutana na changamoto ya kupakua picha zilipostiwa FB ili niweze kupost kwingine
Naomba msaada ni njia gani nitumie
Shukran, Dalali Solo. 0744033555__ TABATA BIMA DAR