The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Mtanzania huitaji Viza kuingia South Africa. Wasalimie hapo kijiweni
Kwa mwandiko huu utaenda kusoma nn Sauz. Endelea kuazima CD za Movie tu hapa-hapa bongohata kwenda kusoma SA pia huhitaji?
Wivu ni kitu kibaya sana.Kwa mwandiko huu utaenda kusoma nn Sauz. Endelea kuazima CD za Movie tu hapa-hapa bongo
Kwa mwandiko huu utaenda kusoma nn Sauz. Endelea kuazima CD za Movie tu hapa-hapa bongo
Wivu ni kitu kibaya sana.
Uwe na admission letter ya chuo chako.
Pia study permit unaweza kuomba wewe au chuo chako kikakutafutia.
Nenda karipoti chuo kwanza. Utaprocess study permit huku ukiendelea na masomo.
Huji bongokumbe inawezekana nika apply nikiwa kulekule SA. Na je sitalazimika kuja bongo?
Habarini wanajukwaa, niko hapa mbele yenu nahitaji msaada wa mtu yeyote mwenye idea ya study permit ya South Africa [emoji1221] au hata ambaye aliyekwishwa omba na kuipata. Je ni Nini kitakufanya uipate au pia ukose visa hiyo. Huwa wanaangalia sana documents gani wakati wa ukaguzi ( submission ) wa hizo documents zako. Nataka niombe hii visa sasa sina ABCs zake
Mwenye ujanjaa au connection ya kitu chochote kuhusiana na hili jambo karibuni. Asanteni
Inaelekea kitambo sana pande izo.Dah umenikumbusha pale UWC..
Inaelekea kitambo sana pande izo.