Msaada, jinsi ya kupata marafiki nje ya mipaka ya Tanzania

Msaada, jinsi ya kupata marafiki nje ya mipaka ya Tanzania

social_science

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2015
Posts
1,106
Reaction score
1,260
Habari zenu wakuu,

Mimi ni kijana miaka 24, elimu yangu degree holder, nime specialize katika administration natafuta marafiki toka nje ya mipaka ya Tanzania, naombeni msaada nitawapata vipi hususani katika social media nina project ikiwemo kuanzisha non profit organization nyingi naitaji support wabongo wanabana sana.

Asante.
 
Back
Top Bottom