Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 134
Heshima mbele,
jamani nataka kusoma diploma in IT pale DIT lkn mzazi wangu hana pesa za ada za kulipa hapo chuon so ningeomba kujulshwa jinsi gani naweza pata udhamin kutoka serikalin ili niweze kusoma hapo
asanten.
jamani nataka kusoma diploma in IT pale DIT lkn mzazi wangu hana pesa za ada za kulipa hapo chuon so ningeomba kujulshwa jinsi gani naweza pata udhamin kutoka serikalin ili niweze kusoma hapo
asanten.