Msaada jinsi ya kupata wawekezaji.

Msaada jinsi ya kupata wawekezaji.

Bizney

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
454
Reaction score
48
Ndugu zangu wana Jf Poleni na majukumu.

Naomba kujuzwa, jinsi au taratibu za kupata wawekezaji, hususani kwa watu wenye, mashamba makubwa, vitaru vilivyopimwa kwaajili ya madini, na miradi mbalimbali. Naamini kuwa majibu yatakayo tolewa hapa, ni faida pia kwa wenzangu namie, wasiojua tarabu za kupata wawekezaji hapa Tanzania.
 
daaa...hii iko poa sana, jaribu kutembelea utt
 
Kwa marekani ni rahis unaweza tafuta mwekezaji nje ata ukiwa Tanzania .Cha muhimu andaa business plan nzuri kuna watu uku wana pesa sana na wanapenda uwekezaji nje maana uku kumejaa .

Pia kwa pesa ya nje ukiwekeza uku Afrika unatajirika sana sababu kuna fursa na watu wengi hawana mitaji.

Fursa ambazo zinaweza kukufanya ukawa tajiri mkubwa zinahitaji mtaji.

Tafuta mwekezaji wa nje wa hapa wana watakusumbua
 
Kwa marekani ni rahis unaweza tafuta mwekezaji nje ata ukiwa Tanzania .Cha muhimu andaa business plan nzuri kuna watu uku wana pesa sana na wanapenda uwekezaji nje maana uku kumejaa .

Pia kwa pesa ya nje ukiwekeza uku Afrika unatajirika sana sababu kuna fursa na watu wengi hawana mitaji.

Fursa ambazo zinaweza kukufanya ukawa tajiri mkubwa zinahitaji mtaji.

Tafuta mwekezaji wa nje wa hapa wana watakusumbua

Pia jarbu kutembelea Chuo Kikuu Cha Dar Kitivo cha Biashara,ulizia mtu yeyote anayehusika na Ujasiriamali kwa Vijana kisha ulizia kitu kinachoitwa Grant Matching na mengineyo yahusuyo wawekezaji.Ila kabla ya kwenda huko ni vzr ukaandaa kabisa Mpango Mradi maana c vzr kuongea maneno matupu pia watu wako bize hivyo ucje kupoteza muda ukiulizwa una mpango mradi, ..utaambiwa kalete.
 
Kwa marekani ni rahis unaweza tafuta mwekezaji nje ata ukiwa Tanzania .Cha muhimu andaa business plan nzuri kuna watu uku wana pesa sana na wanapenda uwekezaji nje maana uku kumejaa .

Pia kwa pesa ya nje ukiwekeza uku Afrika unatajirika sana sababu kuna fursa na watu wengi hawana mitaji.

Fursa ambazo zinaweza kukufanya ukawa tajiri mkubwa zinahitaji mtaji.

Tafuta mwekezaji wa nje wa hapa wana watakusumbua

Acha ujuaji.. yeye kauliza 'jinsi' na 'utaratibu' wa kupata mwekezaji wewe unamwanbia atafute marekani na mtu ashakwambia anatafuta kwani hajui kuwa marekani kuna wawekezaji.
 
Back
Top Bottom